pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] key masta..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sindano hazifanyi kaziile hasara imeanza kuonekana sasa.
Mwasibu feki CPA uchwara OKW SUNZU BOBAN njoo utufafanulie ule mshahara ni vipi kwenye Income Statement.Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Provision for Loss 400m
Cr: Registration fee 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Umeshakubali kwanza ile ni hasara?Mwasibu feki CPA uchwara OKW SUNZU BOBAN njoo utufafanulie ule mshahara ni vipi kwenye Income Statement.
Ndo maana nimekuita Mh Mwasibu wetu feki OKW SUNZU BOBAN CPA.Umeshakubali kwanza ile ni hasara?
Aziz key masta siku hizi hakunji tena bukta..sjui hamisa kaikunjua naoa ..[emoji706]Ndo maana nimekuita Mh Mwasibu wetu feki OKW SUNZU BOBAN CPA.
Tayari.
Kumbe kuna kipindi ulijitutumua ukaja kwenye uzi wako? Time to go back to your hole looserUmeshakubali kwanza ile ni hasara?
Sawa MwasibuKama hutaki acha
MBU WATATU= MBUMBUMBU.Kama hutaki acha