THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
na kwa wasoma nyota wanasema heruf Y ina maana ya ARIS na kipindi chake cha bahati ni 23 march -April hao mamelod wajiandeee.🔹 Simba anacheza siku ya ijumaa kuu siku ya majonzj ( Kumbukumbu ya KIFO Cha Kristu)
🔹 Simba wanaocheza na mafarao waliohusika kuwatesa waizrael ( Babu za Kristu kiubinadamu)
🔹YANGA wanacheza siku ya Jumamosi ( siku ambayo usiku wake Kristu atafutuka) Ni siku ya furaha na kufuta majonzj yaliyotokea siku ya ijumaa kuu
🔹 Hivyo Simba wajiandae na kilio na YANGA wajiandae na furaha
Imeandikwa wapi?Kwa sisi wakatoliki imeandikwa usile Nyama siku ya Ijumaa Kuu.
Mwisho wa Kunukuuu.
Na tunajua Mnyama hua anakula Nyama..
Ujumbe huu upokeeni😂😂
🙆🤔 😅🤣 Halafu beere 🍻 zikikimbilia chini inakuwaje sasa kwa hawa ndugu masista?Ila kupiga vyombo inakibaliwaView attachment 2946833
Ila waislamu watakula na Wala hatukereki. Alafu kuna wakatoliki wajuaji watakula.Kwa sisi wakatoliki imeandikwa usile Nyama siku ya Ijumaa Kuu.
Mwisho wa Kunukuuu.
Na tunajua Mnyama hua anakula Nyama..
Ujumbe huu upokeeni😂😂
Kikanisa siku inaanza saa 12 jioni siku iliyotangulia na kumalizika saa 12 siku yenyewe, mfano: ijumaa kuu inaanza saa 12 alhamis na kumalizika ijumaa saa 12 jioni. Ndipo pia inapokuja hesabu ya mkesha wa pasaka (baada ya saa 12 jioni siku jmos adhimisho la pasaka linaanza kwa sababu jumapili tayari ishaingia) kuwa siku ya tatu toka ijumaa kuu wakati kwa hesabu za kawaida ni siku mbili, hivyo kama mnyama atakua amefunga kula nyama siku ya ijumaa kuu inayomalizika saa 12 jioni, saa 3 usiku ambayo kikanisa ni jmos anaruhusiwa kuwinda na kula nyama kama kawaida....kila la kheri kwa mnyama ktk mawindo yake kimataifa.Kwa sisi wakatoliki imeandikwa usile Nyama siku ya Ijumaa Kuu.
Mwisho wa Kunukuuu.
Na tunajua Mnyama hua anakula Nyama..
Ujumbe huu upokeeni😂😂
Aaahaaa🔹 Simba anacheza siku ya ijumaa kuu siku ya majonzj ( Kumbukumbu ya KIFO Cha Kristu)
🔹 Simba wanaocheza na mafarao waliohusika kuwatesa waizrael ( Babu za Kristu kiubinadamu)
🔹YANGA wanacheza siku ya Jumamosi ( siku ambayo usiku wake Kristu atafutuka) Ni siku ya furaha na kufuta majonzj yaliyotokea siku ya ijumaa kuu
🔹 Hivyo Simba wajiandae na kilio na YANGA wajiandae na furaha
kristu hajawah kuwepo duniani ...ila kristo🔹 Simba anacheza siku ya ijumaa kuu siku ya majonzj ( Kumbukumbu ya KIFO Cha Kristu)
🔹 Simba wanaocheza na mafarao waliohusika kuwatesa waizrael ( Babu za Kristu kiubinadamu)
🔹YANGA wanacheza siku ya Jumamosi ( siku ambayo usiku wake Kristu atafutuka) Ni siku ya furaha na kufuta majonzj yaliyotokea siku ya ijumaa kuu
🔹 Hivyo Simba wajiandae na kilio na YANGA wajiandae na furaha
Yesu Kristo anasema Mnaangamia kwa Kutokujua maandiko.
Mi wapi Biblia inasema Msile Nyama siku ya Ijumaa???
Hata maana ya Pasaka Hamuijui
DUNIA IMEJAA WAKRISTO FEKI.
WAKRISTO WA KWELI NI WACHACHE MNO.