🔹 Simba anacheza siku ya ijumaa kuu siku ya majonzj ( Kumbukumbu ya KIFO Cha Kristu)
🔹 Simba wanaocheza na mafarao waliohusika kuwatesa waizrael ( Babu za Kristu kiubinadamu)
🔹YANGA wanacheza siku ya Jumamosi ( siku ambayo usiku wake Kristu atafutuka) Ni siku ya furaha na kufuta majonzj yaliyotokea siku ya ijumaa kuu
🔹 Hivyo Simba wajiandae na kilio na YANGA wajiandae na furaha