Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Bilioni 10(kumi)????? A garra go niggaSio ajabu,hata la saba hakumaliza,wewe unayejua kizungu una mchango gani kwenye jamii?Mond asiyejua kizungu kuwa na billioni 10 kwenye akaunti ni kitu Cha kawaida.
Waafrika tumelogwa kweli,yaani mkwanja wote alionao Mond,unamuona sio chochote kwa vile tu,hajuhi kizungu?
Hata kama.Maskini hajawahi kumpenda tajiri, sasa ww na Diamond mnafanana kwa kipi, umepanga chumba kama stoo unamwongelea mtu level nyingine kabisa badala ya kupambana na maisha yako, unaweza kukuta nusu mwaka imepita hujapiga hatua yoyote kazi kudiscuss maisha ya wengine
Daaaahkawaharibu hadi watangazaji wake...." U no wara amin"....u no wara amsaing"
HahahaaaAlivyokutana na Uncle Snoop hizo i garaah zote zikayeyuka gafla akabaki kuwa msikilizaji wa maneno ya Snoop.
nauseating
Yes......yes...... YesUkisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
HahahaaaaaaaTupac syndrome kapata kwa madai yake,ona lile tambala pale kichwani kalifunga dizaini ya Tupac.
Itakua Salaam na Babutale wamefanya yao.
Yai siku nyingine.Pendekezo : thredi irudiwe kwa yai, watu tujilambe...
Kwako mtoa thredi.
hahahaaaa chips mayai mbalimbali au tuchanganye??Na sisi wa chips egg far far or confuse tukae wapi?
Wanasema yooo niggah, i garra yo niggahKwani CCM wenyewe wanasemaje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema slang inficha madhaifu ya grammar, ndio mana wengi wanajificha huko[emoji23][emoji23][emoji23] umeua mkuu ila the thing is sometimes you have to blend in, army personnels call it "flexibility". You ought to dance according to the tune sasa ukiongea kiiengereza kile cha Ras simba au kile cha kwenye Things Fall Apart, No Longer At Ease, I'll Marry when I want, Is It Possible, Three Suitors One Husband etc. Mbele ya wanyama kina Quavo, Lil Baby, sijui Lil Yachty etc. Itakua noma [emoji23][emoji23][emoji23]
Chefu ni msemo wa kichoko.
Cha mwendazake je!?Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
Uzuri alishasema kuwa yeye ni kama maji, huwezi mkwepa! Lazima umuongelee mdomoni mwako....Ukisikia "kizungu-chefu chefu" ndio cha huyu Bwana mdogo nguli wa bongo fleva.
Huyu Bwana mdogo wa Tandale sijui katoa wapi hii kizungu ya kimarekani? Sijui ndio kuwa NIGGA? — Bado sijamuelewa vizuri.
You garrah gooh... i garrah duuh, i garrah fyoko, yoooo ma nigga, i garrah nyokooh!
Wajameni, kwani hivi hawezi kuongea kizungu cha Kiswahili? I mean, Kizungu chenye lafudhi asili ya mtu mswahili!
Mbona wakenya wanaongea kizungu chenye lafudhi ya Gikuyu! Ama wahindi pia huongea lafudhi ya kihindi.
Huwezi kuta muhindi anaongea hizo "I garraah garraah .... sijui nini nini!
Zungumza lafudhi uliyozaliwa nayo ndugu. Utaheshimika tu.
Sasa haya maigizo ya "i garrah go" yanatoka wapi? "
"Yooooh ma Niggah, you garraah Niggah"
Ndo nini sasa?
Davido pamoja na kuzaliwa USA kakulia na kusomea Nigeria, hana American accent kabisa labda kama haujawahi kusiliza interviews zake.Davido ni mzaliwa wa Atlanta hata akiongea you garahhhh yake imepigwa Colgate OG. Kinaija anakitumia kupiga pesa tu.Ni kama watoto wa Bob Marley wanatumia kijamaica kupiga pesa wakati rafudhi yao OG ni ya Marekani.
Hata kama.Kwani zimekupunguzia nini mkuu? Ayo nimatumizi mabaya ya muda na akili