johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sijaona tofauti ya kienglish cha hakimu Mtetela na hiki chako!!!.....labda utuwekee CV yako kwanza!Nataka kumjua huyu Mtetela. Wekeni CV yake hapa. Somedays I will want to kidnap his son or daughterand demand Ransom from him
Usimharibie hukumu yake... rekebisha hapo...If he contract sickness the country currency must lose its value [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu mpe kesi ili aihukumu tuthaminishe kimombo chake.Sijaona tofauti ya kienglish cha hakimu Mtetela na hiki chako!!!.....labda utuwekee CV yako kwanza!
Linganisha tu mkuu.... fonti fegi hiyo...You can't be serious!!!
Mi nimeona UMEJIHAMBA tuKingereza ni lugha tu na sio kua ukijua kingereza ndio utaonekana msomi au unauelewa mkubwa wa mambo...tatizo ni pale watanzania tunajihamba kutumia lugha ambayo mtu unatakiwa kuijua kwa juhudi zako...
Najua wewe si m anasheria ila uma reason kama jaji wa mahakama ya rufaa*Usitetee ujinga. Ona aibu. Huyu hakimu anahakisi quality ya sasa ya taaluma ya TZ. Very sad. Hata ukiacha lugha mbali hukumu yenyewe ni ya maoni/hisia zake na siyo sheria. Natabiri kuwa Sugu na mwenzie watashinda rufaa.
Kama mtoa hukumu haelewi hata grammar ya lugha, anaweza kuelewa content ya alichokiandika kweli?Slavery mentality ndiyo inawasumbua Waafrika. Wachina, Warusi na Wakorea hawababaiki na hiyo lugha ya kitumwa ndiyo maana wanashindana na hao waongea kiingereza na wanahaha sana. Waafrika mpaka tujitambue ndiyo tutapata maendeleo. Sasa lugha hiyo ya kitumwa ndiyo imekuwa issue ya kuongelewa kiasi hicho....!! Ingekuwa Wachina hata habari wasingekuwa nayo!
Sorry, nataka nijue tu, hivi ni kweli mahakimu ni wajumbe wa kamati za ulinzi na Usalama za mikoa na wilaya? Elimu tahadhari.Najua wewe si m anasheria ila uma reason kama jaji wa mahakama ya rufaa*
Ile ni maoni ya Amos Makaĺ ambayo alimwambia hakimu aandike,
Rc ni mkuu wj kamati ya ulinz na usalama ya mkoa ambapo hakimu ni mjumbe,
Makala utalipwa tu very soon na hilo tumbo halitaweza himili chakula,utajuta
Wakemia hawataki kuambiwa ukweli.hahahaaa wakemia watakupima mkojo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama mtoa hukumu haelewi hata grammar ya lugha, anaweza kuelewa content ya alichokiandika kweli?
Hii theory ndo naisikia leo kwa mara ya kwanza!Kali zaidi ni hapo alipoandika ''If he contract sickness, even not serious the country currecy must lose it is value'' Kumbe ndio maana shilingi yetu inaporomoka kila siku kwani bwana mkubwa hata akipata mafua tu inaporomoka! Asante sana hakimu!
Ndo wale wale tu hakuna JUNIOR RESIDENT MAGISTRATE tz.So sad! That was from the Senior Resident Magistrate. What about Junior Resident Magistrate?
Are you sure there was a JUDGE in the Resident Magistrate at Mbeya during Sugu's judgment ???THIS SENTENCE WAS WRITTEN BY MAGU AND HANDED DIRECT TO JUDGE FOR JUDGEMENT.