ferucho lamborgini
Senior Member
- Nov 25, 2023
- 185
- 599
Kwa walio na Kiingereza cha level 5.Mbona ameeleweka tu jamani
Yo warap wara mseng im represenhe kenya ,we are very exciting to have you here and to introduce ma self my name is "breen seeng".Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American scent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
View attachment 2997740
Hatar sanaBora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American scent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
Umemuelewa kwa sababu haupo kwenye tukio live na wewe si mhusika wa mjadala, mhusika wa mjadala ni Ruto. Wewe ni msikilizaji tu na sio mjibu hoja.Yo warap wara mseng im represenhe kenya ,we are very exciting to have you here and to introduce ma self my name is "breen seeng".
Mimi niliosoma kayumba nimeuelewa inakuwaje Ruto kashindwa kumuelewa?
Hata yule wa kwetu naye alikuwa PhDRuto ni PhD Holder kabisa
aun't i...?Are you?
Are you Aunty?aun't i...?
We hata hujaelewa muktadha! Ruto sio kwamba alikuwa haelewi, alikuwa a najaribu kuwa charismatic, kwa, kumtania huyu mama wa Kenya, kwamba kizungu chake,kimekaa ki US zaidi wakati yeye ni mkenya,hiyo kumwambia azungumze Swahili, ilikuwa ku mchallenge kama anaweza kuzungumza Swahili kama anavyo gonga ngeli!Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American accent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
ambacho sijawahi kuelewa hadi leo ni kwamba, Kiingereza cha wamarekani wazungu ni kizuri sana, ila kiingereza cha wamarekani weusi ndio kama hicho, hata kama wamesoma shule moja utakuta wapo tofauti hivyo. hivi shida ni nini?Bora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American accent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
ruto huyu wa mbagara maji matituBora tu imetokea kwa Mkenya! Ingelikuwa ni Mtanzania angekiona cha moto kwa mashambulizi ambayo angeyapata mitandaoni😄😄😄
Kiingereza si tatizo kwa wasomi wa Kenya, Rais Ruto akiwemo. Lakini awamu hii kakutana na Mkenya aliyeizoea American accent. Alipoona hamwelewi, alimwuliza kama anaweza akaongea kwa Kiswahili.
Yaani Kiswahili kilionekana chepesi kukielewa kuliko Kiingereza cha huyo mwanamke.
Hii iwatie moyo wale wote wasiojiamini katika hii lugha! Ukishindwa kuielewa, usione haya kuuliza hata kama utachekwa. Lakini pia usiache kuendelea kujifunza.
stop switching off your data😂Are you Aunty?