ferucho lamborgini
Senior Member
- Nov 25, 2023
- 185
- 599
Ruto yupo sahihi na wala hajaigiza, kiingereza cha kimarekani ni tofauti sana na british
Ma-nigga waliongea kwa lafudhi yao tofauti ili kuficha maongezi yao yasieleweke na white folks kipindi racism imekolea
leo ikisikiliza interview ya Meekmill unaweza usiambulie chochote ila ukasikiliza interview ya kiongozi wa uingereza unaweza ukaambulia chochote maana wanaongea kiingereza fasaha
mimi ni mtanzania ila kuna muda nikisikiliza interview ya chid-benz nakuwa simuelewi kabisa na anaongea kiswahili
Ma-nigga waliongea kwa lafudhi yao tofauti ili kuficha maongezi yao yasieleweke na white folks kipindi racism imekolea
leo ikisikiliza interview ya Meekmill unaweza usiambulie chochote ila ukasikiliza interview ya kiongozi wa uingereza unaweza ukaambulia chochote maana wanaongea kiingereza fasaha
mimi ni mtanzania ila kuna muda nikisikiliza interview ya chid-benz nakuwa simuelewi kabisa na anaongea kiswahili