Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa subiri Hangaya arudi toka huko Marekani.
Wataenda wote [akina Sirro, Mabeyo, Mpango, Mwigulu, Kinana, Umi, Nape, Gwajima, na wengineo] kumpokea uwanja wa ndege.
Watamwimbia nyimbo, watamchezea ngoma, na usishangae ukimwona Mwigulu kajifunga kibwebwe huku akikatika na kuimba ‘mama kaupiga mwingi Marekani’.
Yaani ujinga ujinga tu.
Nimefikiri labda hajisikii vizuri..Halafu hivi ni mimi tu [maana nisije kuwa na nitpick] au mbele/ pembeni ya Kamala, Hangaya kaonekana kama hana gravitas?
Sina Nia ya kubeza Imani ya mtu...zamani nikiwa mdogo nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa anasoma kitabu flani cha dini yake kilichondikwa kwa lugha ya kigeni sasa siku moja nikaokota kipande cha gazeti ambalo limeandikwa kwa lugha hiyo nikamuomba aniambie gazeti Hilo limeandika kuhusu nini? Rafiki huyo akaniambia maandishi ya misahafu siyo sawa na maandishi ya gazeti japo ni lugha ile ile! Nilikuja kugundua kuwa huwa wanakaririshwa tu hata maana yake hawajuhi....kama mama alipitia masomo kama hayo hawezi kuhoji anachiandikiwa nini maana kukariri ndiyo asili yake!Kuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,
Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...
Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...
Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Coco…..nimekumiss 😉Nimefikiri labda hajisikii vizuri..
We subiri tu….utayaona yatakavyorundikana pale uwanja wa ndege….huku yakipayuka…kaupiga mwingiiii.
Isiwe tabu, nenda kachukue nafasi yake uweke mambo kama unavyotaka wewe.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Mimi nimekuwa impressed na Kamala Harris kwa jinsi alivyotamka "Tanzania" kama inavyotakiwa. Huyu ni lazima aliuliza namna linavyo tamkwa kabla ya kumpokea mgeni wake.Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Mimi pia…Mimi nimekuwa impressed na Kamala Harris kwa jinsi alivyotamka "Tanzania" kama inavyotakiwa. Huyu ni lazima aliuliza namna linavyo tamkwa kabla ya kumpokea mgeni wake.
Amandla...
Fikra za kitumwa tu zinawasumbua
Huyu nyani ngabu, mfano akutane na merkel anjela aongee kingereza aone akatachojibiwa kwa lugha gani
Kila mtu lazima athamini lugha yake
Ova
Haikuwa tatizo kubwa sana, ila lafudhi la kisukuma hilohill anitumia kwenye kiswahili na kizunguIla Magu ndio ilikuwa kituko. Pipo uzed to dai anda ze rek 🤣🤣🤣
Mama ametoka kuupiga mwingi na amezungumza kikristo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We subiri tu….utayaona yatakavyorundikana pale uwanja wa ndege….huku yakipayuka…kaupiga mwingiiii.
Kumbe hakuna lolote.
apparently u have something against her...and it severly impairs your judgementAkiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.
Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.
Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.
Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.
Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.
Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.
Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?
Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?
Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?
Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.
Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.
Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.
Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!
Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.
Inakwenda kusikojulikana..Jamani pongezeni kuwa Tanzania kidogo kidogo inarudi duniani kutoka kusikojulikana...
Hayo mengine ni madhaifu ya mtu! Hayarekebishiki kirahisi rahisi... Bora yeye kajikubali anakanyagamo humo humo!
Not everybody is a public speaker!
#Mungu Ibariki Tanzania...
Kiswahili kitamsaidia nini?Mbona Kamala hajui kiswahili na hamsemi?