Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Sasa subiri Hangaya arudi toka huko Marekani.

Wataenda wote [akina Sirro, Mabeyo, Mpango, Mwigulu, Kinana, Umi, Nape, Gwajima, na wengineo] kumpokea uwanja wa ndege.

Watamwimbia nyimbo, watamchezea ngoma, na usishangae ukimwona Mwigulu kajifunga kibwebwe huku akikatika na kuimba ‘mama kaupiga mwingi Marekani’.

Yaani ujinga ujinga tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Pep
 
Nilidhani issue ni nini kilichomo ktk speech! Kama speech imejaa mambo ya msingi basi tumuache Mhe. Rais afanye kazi. Vinginevyo ni kujadili fikra za kitumwa tu. Hata Mmarekani haongei kama Mwingereza.🙏🙏🙏
 
Kuhusu facts ndogo ndogo nimewahi kuuliza wanao muandalia speech wanakuwaga na lengo Gani na yeye kwa nini huwa hazikagui,

Hofu yangu huyu bibi ni mvivu Fulani ni mtu wa kulishwa Kila kitu...

Nilishangaa na Mimi kusikia Kamala ndio mgombea wa kwanza mwanamke...

Kingine Samia siyo mtu wa kusikiliza na kutoa arguments, Bali wa Ndiyo ndiyo Kila unapomwabia kitu, nilisikia hii wakati Kamala anazungumza
Sina Nia ya kubeza Imani ya mtu...zamani nikiwa mdogo nilikuwa na rafiki ambaye alikuwa anasoma kitabu flani cha dini yake kilichondikwa kwa lugha ya kigeni sasa siku moja nikaokota kipande cha gazeti ambalo limeandikwa kwa lugha hiyo nikamuomba aniambie gazeti Hilo limeandika kuhusu nini? Rafiki huyo akaniambia maandishi ya misahafu siyo sawa na maandishi ya gazeti japo ni lugha ile ile! Nilikuja kugundua kuwa huwa wanakaririshwa tu hata maana yake hawajuhi....kama mama alipitia masomo kama hayo hawezi kuhoji anachiandikiwa nini maana kukariri ndiyo asili yake!
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Isiwe tabu, nenda kachukue nafasi yake uweke mambo kama unavyotaka wewe.
 
Wengine humu wanajidai kumkosoa wakati wakienda Testing hata 5band hawafikish
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


Mimi nimekuwa impressed na Kamala Harris kwa jinsi alivyotamka "Tanzania" kama inavyotakiwa. Huyu ni lazima aliuliza namna linavyo tamkwa kabla ya kumpokea mgeni wake.

Amandla...
 
Fikra za kitumwa tu zinawasumbua

Huyu nyani ngabu, mfano akutane na merkel anjela aongee kingereza aone akatachojibiwa kwa lugha gani
Kila mtu lazima athamini lugha yake

Ova


Kipindi JPM anawasisitizia kujikubali,kujiaamini na kuthamini lugha yetu ya kiswahili,si mlimwita mshamba kutoka chato ?..sasa leo ndio mnaona umuhimu huo baada ya bibi yenu kupuyanga?
 
I am very impressed with her..
Kwa level ya Watanzania yuko vizuri mnoo..
Vivaaa Mama Samiaa🇹🇿

Eloquent and Fluent,anachosema kinaeleweka,

aendelee kukomaa tu na written statements,.

Hv hapo mngemuweka Prof Ndalichako si badamu bagemwagika??
Hata Mama Mula ni kama kihaya tu
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza 🤣. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.


apparently u have something against her...and it severly impairs your judgement
Anajiuma uma sijui hajiamini? Not to that extent


But guess what
Who caress abt phonology now?🚮
VP got the msg
It is what it is...
Cheers
 
Watu wa kulaumiwa ni wasaidizi wake. Wao ndio wanaoandika hotuba. Vitu kama mgombea wa kwanza mwanamke wa umakamu wa urais havikutakiwa kuwepo, hasa enzi hizi za Google. Unless walikuwa wanamaanisha mgombea mwanamke mweusi. Kitu kingine ni party politics. Hapakuwa na haja ya kupongeza ushindi wa Tsunami wa Democrats wakati ukweli ni kuwa ushindi wao ulikuwa mwembamba sana na kuna uwezekano mkubwa wa kupoteza House na Senate mwaka huu. Angeipongeza tiketi ya urais basi. Yote haya yanaonyesha kuwa wasaidizi wake hawako makini. Hilo anatakiwa alishughulikie mapema iwezekanavyo.

Amandla...
 
Jamani pongezeni kuwa Tanzania kidogo kidogo inarudi duniani kutoka kusikojulikana...
Hayo mengine ni madhaifu ya mtu! Hayarekebishiki kirahisi rahisi... Bora yeye kajikubali anakanyagamo humo humo!

Not everybody is a public speaker!

#Mungu Ibariki Tanzania...
Inakwenda kusikojulikana..
 
Back
Top Bottom