Kiingereza cha Rais Samia

Ni vigumu sana kuwa fluent kwenye lugha ambayo huitumii kwenye mawasiliano yako ya kila siku, inakuwa ngumu sana kujenga misamiati ya kutosha ikiwa hiyo lugha huitumii...........na bila misamiati au maneno ya kutosha utaanza kutafutatafuta maneno sahihi na mwishowe unaishia kupata kigugumizi na kupoteza confidence......
 
Mleta uzi yeye yuko fluently kwenye kutema yai mkuu

Ova
 
Mh samia kwanza amejitahidi sana licha ya kukosea hizo fact za kwambaHarris ni mgombea wa kwanza kugombea umakamu wa rais wakati walikuwepo akina Hilary Clinton walipambana na akina Trump kuutaka urais wa marekani .Hiyo lugha siyo tu ni our second language wengine ni third au fourth kwani kuna lugha mama kiswahili then hicho kiingereza ambacho kilikuwa kimemshinda mazima bwana yule mpaka akaanzisha operation ya kukidisvalue kionekane ni nonsense language
 
Nchi ambayo viongozi wanakimbia midahalo kipindi cha chaguzi haya ndio matokeo yake.

Mtangulizi wake kwenye midahalo ndio alikua hataki hata kusikia japo ni ya kiswahili.
 
Nchi ambayo viongozi wanakimbia midahalo kipindi cha chaguzi haya ndio matokeo yake.

Mtangulizi wake kwenye midahalo ndio alikua hataki hata kusikia japo ni ya kiswahili.
Pata picha Hangaya yuko kwenye mdahalo wa Kiingereza na Lissu 🤣.

It won’t be fair at all.
 
Hii sasa ni point. Midahalo inahitajika sana ili wananchi tuweze kuwapima wagombea. Na CCM wanaigopa sana. Tena tunaongelea ya Kiswahili, siyo ya Kiingereza.
Nchi ambayo viongozi wanakimbia midahalo kipindi cha chaguzi haya ndio matokeo yake.

Mtangulizi wake kwenye midahalo ndio alikua hataki hata kusikia japo ni ya kiswahili.
 
Ukae kitako kwa kutulia, zama zenu Sukuma gang zimekwisha.

Mama atakaa madarakani mpaka 2030 mtake msitake.
Mada ni lugha kwa viongozi wetu, wewe na sukuma gang, zama zao...
 
Rais ana shida sana yakutikuwa mfatiliaji wa mambo muhimu !
Rais pia ana shida ya wasaidizi maana wanamuandikia vitu vya kumuabisha kabisa!

Yani kila akiongea au kusoma vitu lazima atakwenda chaka....sijui shida ni nini?
 
Jamani pongezeni kuwa Tanzania kidogo kidogo inarudi duniani kutoka kusikojulikana...
Hayo mengine ni madhaifu ya mtu! Hayarekebishiki kirahisi rahisi... Bora yeye kajikubali anakanyagamo humo humo!

Not everybody is a public speaker!

Shida inayoina kwa SSH ni kukosa muda wa kujiandaa... Kushindwa kujiamini... Uchaguzi mbaya wa maneno (diction)... Kukosa utulivu wa akili!


#Mungu Ibariki Tanzania...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nacheka sio kama najua sema basi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…