Kiingereza cha Rais Samia

Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka."

Pep
 
Lakini haigopi kuongea,anao ujasiri na pia sio lazima ajue english kama wole soyinka
 
[emoji23][emoji23]mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Kwahyo magu alikaa huko.. mbona mlikua mna mnanga snaa..?
 
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Unacheka Anna…??

Hebu jaribu kuyatamka wewe hayo maneno uone
Mimi ni mweupe kuliko Hangaya😂😂😂
Nipo lile kundi linalomuona yuko vizuri kwenye kikristo🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23]mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Well said
 
Acheni basi mbina mama kaongea kingelez kizuri

Aya kile cha harmonize kime kaaje hakuna perfect kwenye english bhna tafuteni reason mtu yupo anapambania kombe ili wawekezaji waje mpate ajira bado mnaona hafai
Ukiwa hujui unaweza kusema ni kizuri.

Kuhusu wamarekani kuwekeza, Marekani wala sio wawekezaji zaidi tu waje wachukue vile ambavyo kwao vina manufaa makubwa. Usije kuhisi Marekani atakuja kujenga kiwanda cha kutengeneza viatu au nguo au finished products yoyote.

Yeye akija ni kubeba labda madini, gesi, uranium na RM's zingine.
 
Mother tongue haiathiri grammar na structure.
 
Kilichomfanya azungumze hayo mambo ya wagombea wanawake uko kwenye nchi ya watu ni nini.kwani wao hawajui historia yao.mambo mengine bana.

Nimeona waziri wa Rwanda akiongea Kinyarwanda BBc/ Sky news jana ? na kuwaachia wenyewe watafsiri. Na huyu Ramaphosa anaongea Kizulu? sana kwenye mafuriko eti. Hongera sana Mama. English is not our mother tongue language.
 
Angesimangwa humu 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa subiri Hangaya arudi toka huko Marekani.

Wataenda wote [akina Sirro, Mabeyo, Mpango, Mwigulu, Kinana, Umi, Nape, Gwajima, na wengineo] kumpokea uwanja wa ndege.

Watamwimbia nyimbo, watamchezea ngoma, na usishangae ukimwona Mwigulu kajifunga kibwebwe huku akikatika na kuimba ‘mama kaupiga mwingi Marekani’.

Yaani ujinga ujinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…