Kiingereza cha Rais Samia

Kiingereza cha Rais Samia

Hapana.

Fluency haihusiani na kusoma vilivyoandikwa.

Ni kwamba hana lafudhi nzito/ nene. Hicho ndicho kinachomfanya aonekane ana afadhali.

Lakini maneno mengi sana yanampa shida kuyatamka.

Hata yale maneno ya kawaida ya hiyo lugha hawezi kuyatamka vizuri.

Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka.
Aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"Ukimwandikia neno kama ‘xylophone’ au ‘discombobulation’, anaweza kupoteza fahamu akijaribu kuyatamka."

Pep
 
Akiwa anasoma, kuna afadhali kidogo.

Lakini akiwa anaongea kutoka kichwani ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa], anapata shida sana.

Yaani Magu na Hangaya walichaguana wote wakiwa weupe kwenye hiyo lugha pendwa.

Muangalie na msikilize kwenye video hapo chini. Yale ambayo hayajaandikwa [hajaandikiwa] kwenye karatasi, anapata shida kuyaongea.

Anajiuma uma tu. Hajiamini. Mpaka hata taarifa za ukweli [facts] anazikosea.

Uchaguzi mkuu wa Marekani wa 2020 haukuwa uchaguzi wa kwanza wa nchi hiyo kuwa na mwanamke kama mgombea umakamu wa Rais.

Wakati Geraldine Ferraro anagombea kwenye tiketi moja na Walter Mondale, Hangaya alikuwa wapi?

Wakati Sarah Palin anagombea na John McCain, Hangaya alikuwa wapi?

Au alitaka kusema kuwa 2020 ndo mara ya kwanza kwa mwanamke kuwa katika tiketi iliyoshinda uchaguzi lakini akajiuma uma na akakosea hizo basic facts?

Halafu, ni ‘the United States and Tanzania have enjoyed excellent relations [siyo relation], for the last [past sounds much better] 60 years’.

Halafu kuna watu wanadai eti Hangaya yuko vizuri kwenye Kiingereza [emoji1787]. Ama kweli hii lugha ni janga la kitaifa.

Maana mtu yeyote aijuaye vizuri hiyo lugha hawezi kusema eti Hangaya yuko vizuri.

Hangaya na Magu labda wanapishana kwenye lafudhi tu. Magu alikuwa na lafudhi nzito/ nene zaidi. Hangaya ya kwake si nzito kivile, hivyo kuonekana kama vile anaimudu, kumbe wapi!

Kwenye sintaksia, semantiki, sarufi, kunyambua vitenzi, n.k., hawapishani sana. Wote mulemule tu.

Lakini haigopi kuongea,anao ujasiri na pia sio lazima ajue english kama wole soyinka
 
[emoji23][emoji23]mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Kwahyo magu alikaa huko.. mbona mlikua mna mnanga snaa..?
 
Yaani Tz ukiwa na stress umejitakia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Unacheka Anna…??

Hebu jaribu kuyatamka wewe hayo maneno uone
Mimi ni mweupe kuliko Hangaya😂😂😂
Nipo lile kundi linalomuona yuko vizuri kwenye kikristo🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23]mwenzako hajakaa Marekani kama wewe mkuu,mtu wa Huku Kizimkazi katembea sana ni hapa Dar na Dodoma unataka kumuweka daraja sawa na mtu wa Cleveland,Salt lake,Idaho,wichita,New york na Atlanta?? Tumvumilie tu mkuu yatakwisha
Well said
 
Acheni basi mbina mama kaongea kingelez kizuri

Aya kile cha harmonize kime kaaje hakuna perfect kwenye english bhna tafuteni reason mtu yupo anapambania kombe ili wawekezaji waje mpate ajira bado mnaona hafai
Ukiwa hujui unaweza kusema ni kizuri.

Kuhusu wamarekani kuwekeza, Marekani wala sio wawekezaji zaidi tu waje wachukue vile ambavyo kwao vina manufaa makubwa. Usije kuhisi Marekani atakuja kujenga kiwanda cha kutengeneza viatu au nguo au finished products yoyote.

Yeye akija ni kubeba labda madini, gesi, uranium na RM's zingine.
 
Kwa aina ya wananchi wetu mama anajua sana na anajitahidi. Kumbuka lugha huwa ina kuwa affected na mothertongue.

Mimi nimefurahi raisi wangu anapoongea kwenye platform kama hiyo, kuachilia mbali wanawake wengi wanauoga kuongea mbele za watu haswa wa kiislamu. Anatamka maneno tunayaelewa makosa madogomadogo ni kawaida. Huwezi kumlinganisha Raisi wa ghana na George weah kwenye pronounciation, choice of words and mannerism when they conversate.
Mother tongue haiathiri grammar na structure.
 
Kilichomfanya azungumze hayo mambo ya wagombea wanawake uko kwenye nchi ya watu ni nini.kwani wao hawajui historia yao.mambo mengine bana.

Nimeona waziri wa Rwanda akiongea Kinyarwanda BBc/ Sky news jana ? na kuwaachia wenyewe watafsiri. Na huyu Ramaphosa anaongea Kizulu? sana kwenye mafuriko eti. Hongera sana Mama. English is not our mother tongue language.
 
Angesimangwa humu 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa subiri Hangaya arudi toka huko Marekani.

Wataenda wote [akina Sirro, Mabeyo, Mpango, Mwigulu, Kinana, Umi, Nape, Gwajima, na wengineo] kumpokea uwanja wa ndege.

Watamwimbia nyimbo, watamchezea ngoma, na usishangae ukimwona Mwigulu kajifunga kibwebwe huku akikatika na kuimba ‘mama kaupiga mwingi Marekani’.

Yaani ujinga ujinga tu.
 
Back
Top Bottom