Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe mwenye akili weka hapa sehemu ambayo umeiona kwenye kitabu haipo sawaKwasababu una akili ndogo huwezi kuelewa
kile kitabu cha kiswahili nchi ya kusadikika ulikielewa japo kiswahiliUmetumwa?
Usituone tunaandika JobTrueTrue ukadhani tumeishia la 7.
Tuache visingizio kukwepa fedheha,Alitaka aone reaction ili apate the way forward, hivi vitabu kwa nini asivigawe ulaya na marekani? Yeye ananufaika vipi kuvigawa bure kibiashara??
Tuache visingizio kukwepa fedheha,Hiyo ni plan A kutengeneza njia ya plan B ambayo ndo lengo au kusudio.
Achana nae huyo, anaona sifa kupinga mambo ambayo sio sahihi.Wewe
Wewe wakija wadau utahaibika maudhui ya ndani ndio yana dosari.
Walikurupuka, ila mzungu ndo anaukweli Wa lengo la kugawa vitabu, hakuna cha bure dunianiTuache visingizio kukwepa fedheha,
Naomba turudi pale pale kwenye mhadala mkuu kwamba kwanini watu wamezusha kitabu kinahusu ushoga bila kuelewa kilichoanfikwa ?
Ajabu ni kwamba wazungu hao hao ndio hutoa mabilioni ya misaada kusaidia elimu ya Tanzania kila mwakaWalikurupuka, ila mzungu ndo anaukweli Wa lengo la kugawa vitabu, hakuna cha bure duniani
Haya sasa wewe uliesoma kitabu kizima na kuhitimisha kinahusu ushoga naomba uweke ushahidi.Yaani kwa kusoma pages 2-3 kupitia videos tayari umefanya hitimisho. Ficha upumbavu broooo! Wale watu sio wehu
swala la majaji kuvaa ma wigi maana historia za wenzetu na vitabu tunavikurupukiaSie wengine hatujaenda shule ni darasa la nne flat, kwenye ule uzi wadau wamedadavua baadhi ya sentensi tata zilizoandikwa mle kuna mambo kama malkia, kujipodoa mdomo ambayo ni mambo ya kike kwa mwanaume kulinganishwa nayo ndio wakajawa na wasiwasi kuwa kuna ushoga mle unazungumziwa. Kama vipi leteni kitabu kizima tukichambue hata kama hatujui kiingereza. Kama tuliweza kukichambua kitabu cha animal farm chenye kiingereza kigumu hicho kitatushinda nini? Iwe british english au america english ongeza na irish english kitachambuliwa tu tujue maudhui yake