Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haya ndiyo yaliyoandikwa basi niwaombe radhiKitabu chenyewe nimekikopi hikihapa wataalamu wa kudadavua je kuna code zozote zimefichwa humu?
THE GRANDPA THAT NEVER GREW UP
There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told.
When I asked
About his age,
He smiled and said,
"Have you seen me on stage?"
He took me into town,
And right then and there,
He hopped on a mic
And sang along with cher.
There was the time
He took me to pride.
He wore a pink dress;
All his hair he dyed.
Then there was
That halloween
He put on makeup
And went as a queen.
I asked him once
If he'd ever retire
"Do i look like milk
With a date to expire?"
"Flip me over
Check out my feet,
A ring for each year.
I age like a treat."
Have you seen me on stage?"
He took me to pride.
Wewe ushaona Babu gani wa Kiafrika akivaa make up na kutembea kama malikia barabarani?He put on makeup
And went as a queen.
Free your mind ndugu.Ajabu ni kwamba wazungu hao hao ndio hutoa mabilioni ya misaada kusaidia elimu ya Tanzania kila mwaka
Mkuu chini hapo mbona haujaweka signature yako ya job true true? Itakuwa umechukizwa kweli na uzi.Umetumwa?
Usituone tunaandika JobTrueTrue ukadhani tumeishia la 7.
KAMA UNA-AGENDA ZAKO WE KUWA MUWAZI TU ACHA KUKOSOA MAMBO AMBAYO YANA ATHARI KWA JAMII.
Hakuna cha buree mjinii, km una uwezo si utafute wee mwenyewe.Free your mind ndugu.
Kwa hiyo wewe jirani yako akiwa anatoa chumvi kwa mkeo, halafu aje aseme anataka kuona kama mkeo chumvi imekolea kwa kwenda chumvini utamkubalia? At kwa sababu huwa anatoa msaada wa chumvi.
Nimefikiria tu kwa nguvu.
So?Hakuna cha buree mjinii, km una uwezo si utafute wee mwenyewe.
UZI UMEFUNGWA >> Kuna ushahidi usio na shaka kwamba ni kweli vitabu vinahusu mmonyoko wa maadili
Tema yai .... Tema yai.Umetumwa?
Usituone tunaandika JobTrueTrue ukadhani tumeishia la 7.
KAMA UNA-AGENDA ZAKO WE KUWA MUWAZI TU ACHA KUKOSOA MAMBO AMBAYO YANA ATHARI KWA JAMII.
Hivyo hivyo ulivyo elewa.So?
Unataka kusema nini? Funguka
Kwenye kill kitabu sio suala la kiingereza tu bali kufichwa kwa lengo hata kama kingendikwa kwa kiswahili ni mpaka update mtu anayechambua mambo ndio ajue kuna ushoga.Ugonjwa unaanzia hapa
Kuajili waliojua kusoma na kuandika (kidato Cha 4 au la 12(12-1 darasa la awali)
Wakati kingereza pamoja ni lugha yamawasiliano kwawezetu hasa england(UK) hatawao wapo wasiojua kabisa
Kwahiyo ,kingereza kinamisingi yake yakukijua ,sembuse Hawa watumishi wetu
Nchi inawatumishi laki 6 ,wanaojua kingereza yawezekana wakawa 2000
Na kati yahao muda huo eneo Hilo hawakuwepo ,waliokuwepo ndohao waliozuia baada ya wanaojua kutambua uhovyo ,imekuwa kinyume chake
Msiwahusishe akina TLS na wajumbe wao
kwahyo mkuu kwa utaalamu wako kweli kina mambo ya ushoga?Kwenye kill kitabu sio suala la kiingereza tu bali kufichwa kwa lengo hata kama kingendikwa kwa kiswahili ni mpaka update mtu anayechambua mambo ndio ajue kuna ushoga.
Mfano PRIDE ni Event ya mahogany lakini kwenye luggage ya kiingereza sidhani kama neno Rasmi kuwa Events fulani bali tunajua kama kutendo cha kuji proud.
Dyed: tunajua kupaka rangi nywele tu je kilamtu anajua kuwa mahogany wanapaka rangi nywele wakiwa kwenye PRIDE nawakati hata PRIDE pia hujui ni nini.
Makeup as Queen in Hallowen: hapa pia mpaka uwone juu kazungumzi PRIDE na chini kava kama malikia ndio uunge Dots ila hivihivi unaweza sema si sherehe za Hallowen tu.
So kitabu suala la uchambuzi zaidi sio lugha.
Ndo mana nimesema unakuwa na kundi linalojua kusoma na kuandika ....nimezingatia nikundi haliwezi chambua mamboKwenye kill kitabu sio suala la kiingereza tu bali kufichwa kwa lengo hata kama kingendikwa kwa kiswahili ni mpaka update mtu anayechambua mambo ndio ajue kuna ushoga.
Mfano PRIDE ni Event ya mahogany lakini kwenye luggage ya kiingereza sidhani kama neno Rasmi kuwa Events fulani bali tunajua kama kutendo cha kuji proud.
Dyed: tunajua kupaka rangi nywele tu je kilamtu anajua kuwa mahogany wanapaka rangi nywele wakiwa kwenye PRIDE nawakati hata PRIDE pia hujui ni nini.
Makeup as Queen in Hallowen: hapa pia mpaka uwone juu kazungumzi PRIDE na chini kava kama malikia ndio uunge Dots ila hivihivi unaweza sema si sherehe za Hallowen tu.
So kitabu suala la uchambuzi zaidi sio lugha.
Mpaka sasa naona kitabu kitabu, kitabu kitabu mbona hakuna anayekariri kilichomo ndani ya kitabu! Hebu wekeni kilichomo ndani ya kitabu ili tuhitimishe mjadala.Yaani kwa kusoma pages 2-3 kupitia videos tayari umefanya hitimisho. Ficha upumbavu broooo! Wale watu sio wehu
Hawa ndio wale wanaotahadharishwa don't judge the book by it's coverWewe
Wewe wakija wadau utahaibika maudhui ya ndani ndio yana dosari.