Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Waabongo wengi mko kama mna umtindio wa ubongo, sijui mliambiwaga na nani kua kingereza ndiyo uungu huku duniani,wanaoomgea hicho kingereza bado hawawezi kuongoza nchi kwa kiwango chake,sasa hiyo lugha ya washenzi inasaidia nini hapa Afrika? Nyie ndo wale ambaokipeleka watoto shule hizo wakiongea lugha ya kigeni mnaamini wako vizuri na kujisifia mitaani kua mtoto wako anaongea kingereza na mwisho wa siku toto linaishia kua lishoga
SAWA WEWE UNAYEJUA KIINGEREZA UMEMZIDI NINI WAKATI HATA UMONITA NYUMBANI KWAKO HUNA LAKINI YEYE NI RAIS NA DUNIA INAMTAMBUA KULIKO WEWE MBURUKENGE HATA MTAANI KWENU TU UKITAJWA JINA WANAANZA KUULIZANA HUYU NDIYE NANI ZAIDI YA YOTE MAGUFULI SIYO RAIS WA WAINGEREZA TULIZA MSHONO NA ULIMBUKENI WAKOAcha kurushia keyboard mate..
Hajui Kiingereza.
Njaa mbaya sn.... 🤣🤣
SAWA WEWE UNAYEJUA KIINGEREZA UMEMZIDI NINI WAKATI HATA UMONITA NYUMBANI KWAKO HUNA LAKINI YEYE NI RAIS NA DUNIA INAMTAMBUA KULIKO WEWE MBURUKENGE HATA MTAANI KWENU TU UKITAJWA JINA WANAANZA KUULIZANA HUYU NDIYE NANI ZAIDI YA YOTE MAGUFULI SIYO RAIS WA WAINGEREZA TULIZA MSHONO NA ULIMBUKENI WAKO
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Umri umeshamtupa mkono
Halafu anatabia ya ubishi
Sio rahisi kumbadilisha.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hizo ndio kazi za mkuu wa Mkoa?
Kazi za RC kwa akili zako matope;
1; Kusaidia Wagonjwa.
2. Kusaidia Walemavu.
3. Kusaidia kupatanisha ndoa na wajane waliodhulumiwa.
4.Kuvamia clouds.
KAZI ZA KANDORO/MAKAMBA
1. Kusimamia zoezi la kuondosha wavamizi mabondeni na kupatiwa viwanja mabwepnde.
2. Kusiamia ujenzi wa miundombinu ya DART.
3Kupambana na wauza uchi kinondoni moscow, samora, makaburini na sinza.
4. kutafuta wawekezaji wa kimataifa kupitia EPZ.
5. Kusimamia wilaya zote za Dar, na shule.
NB: Wewe kidogo uwe ndondocha, maana akili yako ipo hivyo.
Wewe acha uchochezi! Ila umenichekesha sana[emoji38]Ina maana hata mdahalo na Steve Sucker wa HARD TALK mgombea wa CCM hatakwenda?
AiseeeWewe ndo uko hivo sio watz..... Mi najiuliza tu wkt wenzake wanajifunza kiingereza yeye alikua anafanya nini??
Hii aibu wakenya wakisikia si itakua balaa[emoji3][emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38]Tatizo watanzania wengi ushamba umewazidi mkuu. Wanafikiri kujua kiingereza ndio kufaulu maisha [emoji16][emoji16]
Siyo mbaya, if you want to eat with a blind man...Halafu Prof Kabudi anapiga makosi pwa pwa pwa!
Asee Njaaa mbayaaaaaaaaa
Labda rais wa chato...... Lkn Rais wa jmt ni TUNDU LissuChaggadema mtaongea mpaka basi, Magu ndie raisi wenu hadi 2025 😁😁. Nyie hamuna chenu hapa muzehe.
Sa kwanini tunatumia kingereza kwenye shughuli zetu nyingi za kibiashara zinazotuletea maendeleo kama vile banks and schoolShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Labda rais wa chato...... Lkn Rais wa jmt ni TUNDU Lissu
We mbwa unamjua Sheikh Ponda.....???Huyo mnyaturu namkubali sana, ila kwa chaggadema asahau uraisi wa jmt. I wish aende ccm tu, chaggadema anapoteza muda.
Kinachonikera wanachadema ni Udini + Ukabila, na itawacost sana.
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?