Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

Status
Not open for further replies.
Puttin amefundishwa kwa Kiingereza kwa miaka 17 kama magu ?
Acha ukilaza wewe.
 
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Nawe hukijui shame on you ndio nini😛😛😛😛..... kidding
 
Kama alichoongea kimeeleweka, hakuna shida.
 
Reactions: Oii
Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Nilitalajia ungemjibu muulizaji pale aliposema Everyone inamaana gani kisha ndipo ukakosoa na sio kwa huu mfumo ulioutumia.
Hoja hujibiwa kwa hoja
 
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
We mwanamke unayebleed every 28 days shut up ypur mouth yani katika maneno yote aliyoongea correctly umeona tu every body have?

Kwanza gramatically yupo sahihi tatizo lako umekariri lugha !
Hivi wazungu wakija kwetu huwa wanaongea kiswahili sanifu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…