Kiini cha matatizo ya Zanzibar, Mapinduzi ya mwaka yaliyomwondoa Sultani


Ana reference gani zaidi ya propaganda za kanisani
 

kweli wewe unafikra mgando inamaana Zanzibar badala ya kusonga mbele inarudi nyuma? Kwanza mapinduzi yale ilikuwa ni njama ya Tanganyika kuitawala Zanzibar kupitia mgongo wa chuki na propaganda za ubaguzi ambazo hazikuwa sahihi.MLETA mada twambie ni wapi ASP AU shehe Karume alipowahi kusema hamtambui sultan. Haya kama uhuru ingepewa ASp je,mapinduz yangalikuwako? Na je sultan angebaki ama la? Kama kulikuwa na ghiliba katika uchapuzi walizofanyiwa ASp ndizo inafanyiwa CUF KWANINI uifananishe cuf na znp na zppp? Haya nitajie wangapi walipindua na leo wako kwenye siasa? Kama cuf ndo waliopinduliwa kwa mtazamo wako cuf ni waarab na ccm ni waafrica na washraz.aise hii ni hatari ndugu yangu,kaa chini tafakari na ujisahishe alamsik.
 

Wewe ni muongo na mzushi,wewe ni miongoni mwa wale wasioitakia memma zanzibar na kuiona zanzibar kama koloni la Tanganyika.
 
Mkuu haya yote unayoyasema kuhusu Zanzibar ni marudio tuu, tumeisha sema yotu humu humu jf, hata hili la Seif kushinda lakini kamwe hatotangazwa tumelisema na sababu tumewapa, kilichobaki ni watu kutupigia tuu mikelele humu jukwaani.

[h=2]Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu?.[/h]
Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Mas

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuz


Re: Iwapo CCM itashindwa Zanzibar, Nini Majaaliwa ya Muung


Topic: Kumuepushia aibu ya Kushindwa, CCM isimsimamishe


Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kish


Jee Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?.


Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana G


Bunge Maalum Lapigwa Changa la Macho!? Lapewa"Act of Unio


'Karume Hakuyakimbia Mapinduzi ya ZnZ'-Karume Jnr


Je, Abedi Amani Karume alikuwa na Wake 6? Ana Watoto Wa


Kumbe raisi mstaafu karume sio mtoto wa Abeid Karume! -


Mama Fatma Karume athibitisha Karume hakushiriki Mapinduzi

Hatimaye Serikali yawaenzi Rasmi 'Nyerere na Karume'! Yawaundia ...


Licha ya Karume kutambuliwa: Kamchezo Uboreshaji Daftari P

Pasco
 

Upende usipende ukweli uko pale pale.
Zanzibar kuna makundi hasimu yanayotokana na mapinduzi ya 1964.

Na huo ndo mzizi wa fitna.
Makundi hayo nimeyaeleza hapo nyuma.
Haingii skilini kwamba Naalim Seif peke yake ndo anagombea urais kutoka upinzani tokea mwaka 1995 hadi leo akiwa kama sultani wa upinzani!
Na hicho ndo kielekezo cha "demokrasia" unayoiongekea hapa.
 
Last edited by a moderator:
Wewe ni muongo na mzushi,wewe ni miongoni mwa wale wasioitakia memma zanzibar na kuiona zanzibar kama koloni la Tanganyika.

Zanzibar ni nchi kama ambavyo Baraza la Wawakilishi waliamua.
Watumie katiba yso kutatua matatizo yao na si kutafuta msukuma wa kuwabebea mzigo mzito!
 

mbona hushangai ccm kukaa madarakani miaka 50?hamuwezi tena kuwagawa wazanzibar ili muwatawale.
 

Acha mihemko kijana!
Hujataja matatizo mengine mengi tu yanayi wakabili vijana wengi wa Kizanzibari.
Ni wavivu kupinfukia.
Watu wanafikiri kufanya biashara ndo demokrasia , kuna mabonde mazuri sana ya kulima na kuanzisha agri industies huko kwenu.
Na mimi nimefanya kazi huko kwa hiyo naelewa hilo.
Kama hutaki kuekewa misingi ya siasa za Zamzibar hilo ni shauri lako.
Lakini matikeo mnayaona ,yatatueni wenyewe.
 
Napenda Muungano. Na nasikia mara kwa mara CUF huenda wakipewa madaraka - kama hili linawezekana wanaweza anzisha vuguvugu la kuvunja Muungano.

Lakini nijuavyo zanzibar ni ndogo na inazid kuwa ndogo na pia ina watu wanaozidi kuongezeka siku hadi siku. Na wengi wao wako huku bara na sehem zingine duniani

Sasa Muungano ukivunjika hawa watakaa wapi huko zenji? Au watabaki waliko?

Kwasasa ni poa, wakijaa kule wanafurikia huku na wao kuja kununua maeneo huku na kuishi ni ruksa. Wakija kuwa taifa tofauti na huku bara watazibitiwa wasiweze fanya hivo.

Uchumi wao unategemea karafuu na labda mafuta yasubiriwayo yanaweza kuja kuwatoa. Lasivyo bara itegemee matatizo makubwa kutoka zanzibar ikija kutaka kuleta chokochoko za kujitoa kwenye Muungano

Muingiliano wa watu wa zenji na pwani ya bara ni mkubwa sana. Hii itakuwa changamoto ingine kwa mataifa haya mawili yakija kuvunja Muungano
 

Duuh...
 
Mi nasema mara kwa mara kuwa kwa mwafrika mweusi mkristo mzungu kwake ni wa kutukuzwa. Kwa mwafrika mwislam mwarabu kwake ni wa kutukuzwa.

Na hao waarabu na wazungu wanalijua hili

Na mimi naamini kwa dhati kabisa Kuwa kama isingekuwa misaada toka nje ya zenji zenji inge chukua muda kupinduliwa. Sultan angedumu

Mfumo wao wa maisha ni wa ubwana na utwana. Ukitaka kulijua hili nenda ishi nao. Fanya utafiti hasa ujue jinsi gani wanavyoishi. Utakuta hawa jamaa wanaishi kimatabaka. Kama wahindi wanaishi kimatabaka basi nao hao wana mambo ya aina hiyo

Muungano na bara umemnyanyua mweusi mwenzetu wa zanzibar. Fanya utafiti tena ujue mweusi zanzibar alikuwa yukoje kiuchumi na anajionaje mbele ya mwarabu na alikuwa wa kundi lipi kijamii

Kuna mambo ya kuyaweka sawa na kama ni uchumi mbovu wa sasa huko zenji hili ni tatizo la nchi nzima

Tunategemea rais magufuli ataweka mambo sawa kwa kasi hii aendayo nayo na hivyo itapatkana hata hela ya kufanya maendeleo hata huko zenji

Unaweza kuta njaa ikizd sana watu wa danganywa bora kuungana na uarabuni kuliko bara
 


Umejitahidi kuweka fact mkuu sema kuna mahala umezidisha kuweka chumvi sijui kwa kusudi au kutojua hiyo historia, kwanza unakusudia nini kusema Wapemba wako more intelligence ? kwa sababu hiyo historia inaonesha wapemba ni watu ambao walipenda utwana na ubwana uendelee kwa njia yoyote ile na hili lilionekana pale ZPPP walipounganisha kitu chao kwa kwa ZNP na kuwatosa ndugu zao ASP, tokea hapo wamepemba wameonekana watu wa hovyo kabisa kutokea na ndio kitu ambacho wanshindwa kujua kwanini watu wa unguja wanawaita kutu la ngombe.

Hamna cha uwongo hilo swala ata mtoto alozaliwa leo analijua kuwa Pemba ni Cuf na Cuf ni Mpemba hiyo hoja yako ya kina mansour na karume ni muflis kwani wao ni moja kati ya zao la hao pupet wa mkoloni mweupe, Mansour nani asiyemjua ok baba ake alikuwa mwanamapinduzi lakini mama ake alikuwa nani ? na sio lazima mtu afuate upande wa baba katika swala la siasa yeye ameamua kuenzi asili ya mama na wajomba zake ambao walifika kuuwawa kwa ubaguzi wa wazi unamjua Jinja wewe? karume anakesi sawa na huyo mansour inshort hawa wazee walijaribu kutaka kuondoa matabaka ya ubaguzi kwa kuwaowa hao mahizbu ila haijawork out watoto walozaliwa wamekuwa na uhizbu zaidi kuliko uwafro na hii ni kutoka na wao kujiona bora. Moyo sijui amepatwa na nini huyu mzee.

hao kina Haji Ameir, mbona wao pia wenyeji. hebu jipange uzuri naona kama unachuki na watu.
 
kama watu wana njaa kwa nini iwe nongwa wakichagua atakayewaondolea njaa yao!?
 

Umenena kweli kabisa.
Kuna watu Zenji hadi leo wanajiweka kuwa wao ndo wastaarabu na waungwana dhidi ya waafrika ambso wanawachukulia kama wenye asili ya utwana.
Hili lipo na halina ubishi hadi leo.

Ni mental inclination to acceptance of slavery as a way of life.

Mbaya zaidi nililoona Zanzibar hata mwaafrika akipata madaraka ili kuondoa hisia zake za utwana , mtu anaenda kuoa mke mwenye asili ya kiarabu ili socially akubalike!

Wengi hawajafika Zenj kwa hiyo hawawezi kuyajua
haya.
 

Utumboooo mtupu !! Ndoroboooo wewe
 
Sasa chaguzi ni za nini kama tayari maamuzi ya nani atawale yalishamalizwa ??????????!!
Si ndo maana akishinda asiyetakiwa matokeo yanafutwa. Uchaguzi utarudiwa halafu CUF hawatashiriki. CCM, ACT, Jahazi Asilia, ADC, Tadea, DP, watashiriki na uchaguzi utakuwa wa vyama vingi na CCM watashinda ushindi wa kimbunga.
 

Huyo mama unae mjua yeye ni mnafiki, kwao pamba tena kule alikotoka maalim Seif na wamesoma pamoja na maalim Seif na maalim ndiye alie muingiza kwenye siasa.

Hizo story unazo ongea hazina maantiki, unataka kutuambia wale wote kule pemba walio ichagua cuf ni waajabu?

Kama hamuijui historia ya Zanzibar nyamazeni acheni unyumbu, na kama hamuwajui wazanzibari nyamazeni acheni unyumbu, na kama huijui siasa ya Zanzibar vile vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…