Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

Kama ni kweli itakuwa balaa.ina maana mwaka huu hawatanunulia watu tisheti na kofia?oooh na kanga.itakuwaje?au kuna fungu limetengwa kwa ajili hiyo.angalieni chama kitakosa ushindi october
 
Kama ni kweli itakuwa balaa.ina maana mwaka huu hawatanunulia watu tisheti na kofia?oooh na kanga.itakuwaje?au kuna fungu limetengwa kwa ajili hiyo.angalieni chama kitakosa ushindi october
 
Neno kiinua mgongo sijui lina maana gani kwa wanasiasa? maana mtumishi anastaafu utumishi wake na kupewa pesa za mafao halafu anarudia kazi hiyo hiyo mwaka huo huo na kuanza kupata mishahara na posho kama mwanzo huku akisubili mafao yake tena baada ya kustaafu kwa mara ya pili kabla ya kurudi kwa mara ya tatu kwenye utumishi wake!!! sijui nchi za wenzetu ziko kama ilivyo Tanzania?

Huu ni wizi wa mchana kweupe, anaechukua haya mafao alitakiwa kuwa yule ambae harudi tena mjengoni.
 
Yaani pamoja na wabunge wa Sisiemu kufanya kazi ya 'kutukuka' kwa kupitisha kwa asilimia 100 muswada ulioletwa kwa hati ya dharura wa gesi na mafuta, bado serikali imeamua kuwapiga 'teke' katika kutekeleza kwa vitendo kile kitu kinachoitwa shukurani ya punda ni mateke katika yale mafao yao, ambapo kila Mheshimiwa Mbunge alitarajia 'kulamba' shilingi milioni 230?

Ndipo hapo wabunge wa CCM wajifunze na koona faida ya kuusaliti Umma wa watanzania na kuwakumbatia wawekezaji wa nchi za nje pamoja na 'wapambe' wao hapa nchini, ambao ni watawala.

KUNA JAMAA YANGU MB-CCM KAVUTA MKOPO WA NGUVU KWENYE TAASISI MOJA YA BENK AKITEGEMEA KIINUA KIUNO CHAKE KIKITOKA ATASAWAZISHA.. KANIJULISHA KUWA KWAHILI ANAWEZA KUINAMISHWA AKIFANYA MASKHARA HIVYO AMESEMA ATAJILIPUA MJENGONI ILI KAMA MBWAI NA IWE MBWAI😛oa
 
Hivi wamefanya nini mpaka walipwee ..ahadi nyingi walizotoa bado hazijakamilika😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Sasa itakuwaje kwa CHADEMA maana walikuwa wameshapanga kuwa zitawasaidia kwenye kampeni za uchaguzi. hata tukiziacha ccm watazichukua- By LISSU
 
kishushwe maana ni wizi wa kodi zetu tena wa wazi kabisa, bora wangefanya kimya kimya tusijue
 
ndiyo hivyo. Imekula kwao hiyo...
Bado haijala kwao, kazi ya miaka 5, mshahara mnono, posho nono, viti maalum vinono, halafu unalipwa mil 130 unaona wameliwa? Hizo bado ni nyingi sana.
cc. waalim, maaskari, madaktari.
 
Hawana ubavu Wa kuwanyima posho iko kisheria wataitolea mahakamani
CAG kasema 130m ndo ipo kisheria, zile nyingine zilikuwa za rushwa ili wapitishe muswada wa gesi na mafuta. Nasikia kafulila alizinyaka nyepesi nyepesi akaahidi kuipeleka serikali mahakamani ili apate kick toka mashirika ya kimataifa. Jamaa kashtuka.
 
Mramba huko segerea inawezekana kapumzishwa tu
Usiombe hata kupumzishwa tuu kule segerea. Kuna nyakati ngumu hebu fikiria wakati unakunya kwenye debe halafu yona anamwangalia. hakuna toilet paper, halafu ukamwage! Usafishe ndoo> Ni balaa.
 
I hear president @jmkikwete has reinstated the old proposed rates of gratuity in total disregard of the law on political leaders retirement -zitto kabwe leo kwenye twitter
 
Back
Top Bottom