King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Uoga wako ndiyo umasikini wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha ya nini?Ungeweka hata namba ya WhatsApp basi tukutumie picha
Tulivyojaribu kupika.Picha ya nini?
Nitumie pmTulivyojaribu kupika.
Nakupa 100Mwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467
chambua chambua itoke mojamoja ila umepika vizuri sana natumai zikipoa utafurahia mloMwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467
Hizo ni nini kwani ? Zinaonekana tamu sana98% 2%umeshindwa kuzi
chambua chambua itoke mojamoja ila umepika vizuri sana natumai zikipoa utafurahia mlo
Karanga za mayaiHizo ni nini kwani ? Zinaonekana tamu sana
Halafu nilitaka nikuulize mbona zingine zinagandiana?98% 2%umeshindwa kuzi
chambua chambua itoke mojamoja ila umepika vizuri sana natumai zikipoa utafurahia mlo
Wakat unaziweka kwenye moto unatakiwa ukologe kuziachanisha ili zisigandiane nilisahau kusema tuHalafu nilitaka nikuulize mbona zingine zinagandiana?
Nitafanya hivyo siku nyingine, asante sana.Wakat unaziweka kwenye moto unatakiwa ukologe kuziachanisha ili zisigandiane nilisahau kusema tu
Karibu ukiwa unataka kujua kitu niambie mm nitapika nitakiweka hapa next time nataka kutengeneza bisi nikipata nafasi nitaenda mjini weekendNitafanya hivyo siku nyingine, asante sana.
Huwa natengeneza bisi ila zingine huwa zinabaki chini bila kupop up, natumaini utaniongezea ujuzi.Karibu ukiwa unataka kujua kitu niambie mm nitapika nitakiweka hapa next time nataka kutengeneza bisi nikipata nafasi nitaenda mjini weekend
Aise so 🔥 hongera 👏Mwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467
Unazipenda? Huwanatengenezaga morng nikiwa naharaka nimechelewaHuwa natengeneza bisi ila zingine huwa zinabaki chini bila kupop up, natumaini utaniongezea ujuzi.
Naomba ulete uzi wa kutengeneza bagia za dengu.
Crunchy peanuts? 1Karanga za mayai
Ndio napenda bagia napenda vyakula vyepesi vizurivizuri. Naona bora mtu upike mwenyewe kuliko kununua hela inaenda nyingi.Unazipenda? Huwanatengenezaga morng nikiwa naharaka nimechelewa
NdioCrunchy peanuts? 1