ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Asante Chalii..!Umejitahidi sana. Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Chalii..!Umejitahidi sana. Hongera
😁😁 nitaomba ila sio leoNimekaa kitambi juujuu, nikijiangalia sioni umbo la nyigu.
Ananipamba kuna kitu anataka kuomba huyo.
Upike machalari next time utualike mimi na min -meAsante Chalii..!
Ndo vinini?machalari
Ndizi nyamaNdo vinini?
Kata moja ya mbege haitoshi inatakiwa ndoo ndogo ya litre 10.Kabisa mnama yawe na nyama nyingi na parachichi pembeni na kata ya mbege tu.
Ndo vinini?
Mimi mwenyewe napenda sana ndizi zenu na nyama ikolee naziNdizi nyama
Tamu sanaa! Ila nyama kidogo mbona🙂
Kutokana na kusitishwa kwa misaada kutoka USAID inabidi tuzingatie bajeti kwa umakini mkubwa sana😃Tamu sanaa! Ila nyama kidogo mbona🙂
Utumbo bei cheeeKutokana na kusitishwa kwa misaada kutoka USAID inabidi tuzingatie bajeti kwa umakini mkubwa sana😃
Nazi tena? Kule mgombani hakuna nazi tunakula na nyama nyingiMimi mwenyewe napenda sana ndizi zenu na nyama ikolee nazi
Mmmh! Ndizi zenu bila nazi zinalika kweli?Nazi tena? Kule mgombani hakuna nazi tunakula na nyama nyingi
Kwendraa wachaga tuwe hivi 🤣🤣🤣 yupo mdogo Hope urassa na min ndugu wakeNilikua nakupenda nikijua wewe ni mchaga, kumbe sio💔
Acha kunitisha ndio ukweli huo
Zinalika vizuri tuMmmh! Ndizi zenu bila nazi zinalika kweli?