ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nitajaribu siku kula bila nazi.Zinalika vizuri tu
Mimi napenda sana ndizi kuliko hata wali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajaribu siku kula bila nazi.Zinalika vizuri tu
🤣🤣🤣🤣 Ndio umefanyaje we nyau. Nifundishe basiNitajaribu siku kula bila nazi.
Mimi napenda sana ndizi kuliko hata wali.
Kufundisha nini🤣🤣🤣🤣 Ndio umefanyaje we nyau. Nifundishe basi
Imekuja notification umeni quote halafu nakuta sio Mimi 🤣🤣🤣Kufundisha nini
Huu ndo uzi wa karanga, sema hspahapa kila mtu afaidikeSafi sana. Nicheki kwa ukaribu nikuongezee maujuzi ya Kutengeneza karanga za bei kubwa zaidi ya hizo. yaani nusu ya kipimo chako ila bei ni hiyo hiyo. USIPUUZE
changamoto picha tuu ila inshort, zangu naziita karanga njugu. kwasababu zinatoka kama njugu, rangi nachagua mwnyewe, nizitoe nyeupe zakaki au rangi ya kama zako. na karanga haionekani kabisa, na kama inaiva vizuri ukiitingisha unaisikia karanga kwa ndani. mahitaji yanaweza kua hayohayo japo mimi naweka mpaka vanilla.Huu ndo uzi wa karanga, sema hspahapa kila mtu afaidike
Zinafanana na zile Diamond karanga?changamoto picha tuu ila inshort, zangu naziita karanga njugu. kwasababu zinatoka kama njugu, rangi nachagua mwnyewe, nizitoe nyeupe zakaki au rangi ya kama zako. na karanga haionekani kabisa, na kama inaiva vizuri ukiitingisha unaisikia karanga kwa ndani. mahitaji yanaweza kua hayohayo japo mimi naweka mpaka vanilla.
so tunatofautiana katika kuchanaganya unga tuu. nimeenda mbali zaidi natengeneza hadi za unga wa mhogo kwakutoweka sukari ii nifanye biashara hadi na wenye matatizo ya kiafya.
nataka nikuelekeze namna ya kuchanganya unga tuu. ila nitaweka picha kwanza uone zinavyokua. karanga hazionekani na zinakua na shape ya golori.
nnazozitengeneza
Katika Kilo kuna Mayai 5 nadhani unaona tuu huo utofauti.
Mimi siuzi nilitengenez kwajili ya kula tu homeSafi sana. Nicheki kwa ukaribu nikuongezee maujuzi ya Kutengeneza karanga za bei kubwa zaidi ya hizo. yaani nusu ya kipimo chako ila bei ni hiyo hiyo. USIPUUZE
Nishawai taka jaribu nikakosa maziwa ya unga si unachanganya pembenichangamoto picha tuu ila inshort, zangu naziita karanga njugu. kwasababu zinatoka kama njugu, rangi nachagua mwnyewe, nizitoe nyeupe zakaki au rangi ya kama zako. na karanga haionekani kabisa, na kama inaiva vizuri ukiitingisha unaisikia karanga kwa ndani. mahitaji yanaweza kua hayohayo japo mimi naweka mpaka vanilla.
so tunatofautiana katika kuchanaganya unga tuu. nimeenda mbali zaidi natengeneza hadi za unga wa mhogo kwakutoweka sukari ii nifanye biashara hadi na wenye matatizo ya kiafya.
nataka nikuelekeze namna ya kuchanganya unga tuu. ila nitaweka picha kwanza uone zinavyokua. karanga hazionekani na zinakua na shape ya golori.
nnazozitengeneza
Katika Kilo kuna Mayai 5 nadhani unaona tuu huo utofauti.
Asante kwa ushauri MkuuKijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu
Mahitaji karanga, mayai,siagi/blueband,sukari na chumvi
Kwanza changanya blueband na sukari
View attachment 3231910
Kisha chukua mayai nayo changanya vizur mimi nilitumia mayai 2
View attachment 3231911
Baada ya hapo weka unga kidogo kweny karanga af uwe unachanganya polepole
View attachment 3231913
Baada ya hapo weka ule mchanganyiko wako wa mayai pole pole kidogo kidogo na ukologe
View attachment 3231914
Ukiona karanga na unga zimeanza kukaa pamoja malizia mchanganyiko wako kuweka wote
View attachment 3231916
Kisha weka kwenye mafuta ambayo yamepata moto polepole kwa wewe ambae sio mzoefu kuepuka karanga zako kuungua ukisikia zinaanza kulia pa pa jua teyari geuza geuza ili ziwe na rangi moja kisha toa
View attachment 3231918
Kisha weka kwenye chombo kikavu na zipoe vizuri
View attachment 3231919
Kwakua wewe unataka kuuza tafuta vifungashio vile vya kishua weka nenda nazo pale St peter wanapo uza maua ukiona mtu kasimamisha gari ana chagua mau nenda na karanga zako pale muoneshe uza ata 1500 kwasababu karanga yako imeenda shule watanunua na utaona kama kuna shida ya ajira au
Mimi pia nimesoma ila ubishoo nileweka pembeni nipo hapa kwasababu ya upishi tu elimu yangu nilio somea natumia mala chache sana wakati wenzangu wanaonyesha vyeti vya elimu mimi nilishow kipaji basi
Watu walipelekwa zahanati wengine ofisi kuu ila mm nilishow kipaji na baadae walikuja kujua kuwa na elimu baada ya kutokea mgonjwa alie poteza kumbu kumbu kumbe kuna mtu alisema yeye kasomea psychology kumbe sio kweli alisomea kwa upande wa elimu
Pale nika waonyesha vyeti nikamtibu yule kama huduma ya kwanza baada ya wiki nikatoa wazo apelekwe lugalo kwa matibabu zaidi
Nini nataka kusema acheni aibu mimi wakati nafanya iki kitu wengi walikebehi na kuniambia kazi za kike ila leo Mungu kaniona kwanafasi yangu 🤲
Impressive. Hongera Sana mkuu Mungu akukumbuke na asante kwa somoKijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu
Mahitaji karanga, mayai,siagi/blueband,sukari na chumvi
Kwanza changanya blueband na sukari
View attachment 3231910
Kisha chukua mayai nayo changanya vizur mimi nilitumia mayai 2
View attachment 3231911
Baada ya hapo weka unga kidogo kweny karanga af uwe unachanganya polepole
View attachment 3231913
Baada ya hapo weka ule mchanganyiko wako wa mayai pole pole kidogo kidogo na ukologe
View attachment 3231914
Ukiona karanga na unga zimeanza kukaa pamoja malizia mchanganyiko wako kuweka wote
View attachment 3231916
Kisha weka kwenye mafuta ambayo yamepata moto polepole kwa wewe ambae sio mzoefu kuepuka karanga zako kuungua ukisikia zinaanza kulia pa pa jua teyari geuza geuza ili ziwe na rangi moja kisha toa
View attachment 3231918
Kisha weka kwenye chombo kikavu na zipoe vizuri
View attachment 3231919
Kwakua wewe unataka kuuza tafuta vifungashio vile vya kishua weka nenda nazo pale St peter wanapo uza maua ukiona mtu kasimamisha gari ana chagua mau nenda na karanga zako pale muoneshe uza ata 1500 kwasababu karanga yako imeenda shule watanunua na utaona kama kuna shida ya ajira au
Mimi pia nimesoma ila ubishoo nileweka pembeni nipo hapa kwasababu ya upishi tu elimu yangu nilio somea natumia mala chache sana wakati wenzangu wanaonyesha vyeti vya elimu mimi nilishow kipaji basi
Watu walipelekwa zahanati wengine ofisi kuu ila mm nilishow kipaji na baadae walikuja kujua kuwa na elimu baada ya kutokea mgonjwa alie poteza kumbu kumbu kumbe kuna mtu alisema yeye kasomea psychology kumbe sio kweli alisomea kwa upande wa elimu
Pale nika waonyesha vyeti nikamtibu yule kama huduma ya kwanza baada ya wiki nikatoa wazo apelekwe lugalo kwa matibabu zaidi
Nini nataka kusema acheni aibu mimi wakati nafanya iki kitu wengi walikebehi na kuniambia kazi za kike ila leo Mungu kaniona kwanafasi yangu 🤲
Yeah.. ila zangu Ni TONTOFYO karanga njuguZinafanana na zile Diamond karanga?
Nasubiri maelezo zaidi, hata pm nitakuja mkuu.
radha ni wewe mwenyewe .. mi siweki maziwa ila radha utakayoipata utaamini kuna maziwa. hapa nataka niijaribu hiyo blueband nione itanipa radha gani nyingine.Nishawai taka jaribu nikakosa maziwa ya unga si unachanganya pembeni
Karibu sanaImpressive. Hongera Sana mkuu Mungu akukumbuke na asante kwa somo
Embu jaribu tuoneradha ni wewe mwenyewe .. mi siweki maziwa ila radha utakayoipata utaamini kuna maziwa. hapa nataka niijaribu hiyo blueband nione itanipa radha gani nyingine.
Wewe tayari umeshakuwa tajiri. Hapo ni kufanya tu packaging nzuri, na kuingiza mzigo mtaani.Mwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467