ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Nataka nijaribu kufanya kitu nione kama utaletewa wewe notification, ikija niambieWw tafuta ka SG Mmoja umalizane nae jumla.🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka nijaribu kufanya kitu nione kama utaletewa wewe notification, ikija niambieWw tafuta ka SG Mmoja umalizane nae jumla.🤣🤣
Unamaanisha unamtaka mke mwenye mpunga?Nikimpata raia chap asiwe nesi wala mwalimu labda TPA au TRA
Hapan sijaona bado mapepe mengiWw tafuta ka SG Mmoja umalizane nae jumla.🤣🤣
No hao wadada wapo smart sana wanavutia sana kuna mmoja nilimuonaga ni anadeka sana mimi mwanamke anae jua kudaka af awe na mapozi 🙌🙌 hakuna kitu anaweza sema mm nikapingaUnamaanisha unamtaka mke mwenye mpunga?
Unamjua Ltn wa QM yule ni aina ya mwanamke ninae mtaka awe kama yule tutaendana sanaWw tafuta ka SG Mmoja umalizane nae jumla.🤣🤣
Huyo hata ile ndizi macamera man wanayotuhimiza tuiseme tukipiga picha huyu anapika pia 😂Hizi ni ndizi Gani. Nyie watu wa mjini kila ndizi mnaipika 🤣
Muhimu iive au sioHuyo hata ile ndizi macamera man wanayotuhimiza tuiseme tukipiga picha huyu anapika pia 😂
nafikiri ni kibungaraHizi ni ndizi Gani. Nyie watu wa mjini kila ndizi mnaipika 🤣
Yule mpaka Leo amekalia kiti🙄🙄 amewezaje? Kuwa juu ya yule mtu, basi mganga wake konyoUnamjua Ltn wa QM yule ni aina ya mwanamke ninae mtaka awe kama yule tutaendana sana
Haijaja kama ya mara ya kwanzaNataka nijaribu kufanya kitu nione kama utaletewa wewe notification, ikija niambie
Itapendeza kbisa 🙏
Ni furaha kwanguKuna wengi wamechukua ujuzi kimya kimya
Ukaona utaje nyoka Ili tushindwe kuja kabisa umeshindwa [emoji2][emoji119]Karibu sna utojuta kufika now wanyama wengi hawapo kwasababu ya mvua ujificha ila nyoka ndio wengi na nyati kwasababu ya vichaka
😂😂😂 njoo bhnaUkaona utaje nyoka Ili tushindwe kuja kabisa umeshindwa [emoji2][emoji119]
Something good is something to imitate
Ofisini Kwa rafiki yangu kuna dada anauza hii product hata saa 6 hazifiki zimeisha,yeye kafunga kishkaji tu ila mchanyato ni sawa zinakimbia mno kwakuuzaKijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu
Mahitaji karanga, mayai,siagi/blueband,sukari na chumvi
Kwanza changanya blueband na sukari
View attachment 3231910
Kisha chukua mayai nayo changanya vizur mimi nilitumia mayai 2
View attachment 3231911
Baada ya hapo weka unga kidogo kweny karanga af uwe unachanganya polepole
View attachment 3231913
Baada ya hapo weka ule mchanganyiko wako wa mayai pole pole kidogo kidogo na ukologe
View attachment 3231914
Ukiona karanga na unga zimeanza kukaa pamoja malizia mchanganyiko wako kuweka wote
View attachment 3231916
Kisha weka kwenye mafuta ambayo yamepata moto polepole kwa wewe ambae sio mzoefu kuepuka karanga zako kuungua ukisikia zinaanza kulia pa pa jua teyari geuza geuza ili ziwe na rangi moja kisha toa
View attachment 3231918
Kisha weka kwenye chombo kikavu na zipoe vizuri
View attachment 3231919
Kwakua wewe unataka kuuza tafuta vifungashio vile vya kishua weka nenda nazo pale St peter wanapo uza maua ukiona mtu kasimamisha gari ana chagua mau nenda na karanga zako pale muoneshe uza ata 1500 kwasababu karanga yako imeenda shule watanunua na utaona kama kuna shida ya ajira au
Mimi pia nimesoma ila ubishoo nileweka pembeni nipo hapa kwasababu ya upishi tu elimu yangu nilio somea natumia mala chache sana wakati wenzangu wanaonyesha vyeti vya elimu mimi nilishow kipaji basi
Watu walipelekwa zahanati wengine ofisi kuu ila mm nilishow kipaji na baadae walikuja kujua kuwa na elimu baada ya kutokea mgonjwa alie poteza kumbu kumbu kumbe kuna mtu alisema yeye kasomea psychology kumbe sio kweli alisomea kwa upande wa elimu
Pale nika waonyesha vyeti nikamtibu yule kama huduma ya kwanza baada ya wiki nikatoa wazo apelekwe lugalo kwa matibabu zaidi
Nini nataka kusema acheni aibu mimi wakati nafanya iki kitu wengi walikebehi na kuniambia kazi za kike ila leo Mungu kaniona kwanafasi yangu 🤲