Kijana afanya utani wa kutaka kumuua Rais Magufuli, aambuliwa kifungo cha miaka 2 jela

Kijana afanya utani wa kutaka kumuua Rais Magufuli, aambuliwa kifungo cha miaka 2 jela

unajuaje alikuwa anafanya masihara?

usifuatishe vichwa vya habari vya magazeti uozo yetu haya

masihara ni utetezi wake kizimbani, ambao mahakama imeukataa...

Na wewe unaona kuwa kuna uwezekano alikuwa kweli ana nia ya kumuua? Awe na nia ya kumuua halafu atangaze hadharani?
 
Sijaelewa yaan John huyu huyu au mwingine hebu ongeeni polepele mtamponza mwenzenu
 
Ni kosa kisheria jamani, hata wewe ukitishwa kuuawa nenda kashtaki.Mimi nimewahi kumshtaki mtu kwa kunitamkia kwamba ataniua ila badae nikamuonea huruma sikwenda mahakamani mpaka kesi ikafutwa. Pamoja na hayo Rais ni nembo ya Taifa unatishia vipi kumuua hata kama unatania.

Tuache ushabiki wa kijinga.
Vp kuhusu yule aliyetishia kumuua lisu?
 
Hivi kutania na kutishia tofauti yake ni nini? Hasa kwa vitu serious kama kutoa uhai wa mtu............ kuna kutania kutoa uhai?? sio tu wa rais bali hata mtu wa kawaida.
 
Ukifahamu mipaka ya matendo yako utaepuka madhira mengi sana.
 
Ni kosa kisheria jamani, hata wewe ukitishwa kuuawa nenda kashtaki.Mimi nimewahi kumshtaki mtu kwa kunitamkia kwamba ataniua ila badae nikamuonea huruma sikwenda mahakamani mpaka kesi ikafutwa. Pamoja na hayo Rais ni nembo ya Taifa unatishia vipi kumuua hata kama unatania.

Tuache ushabiki wa kijinga.
Yes, umenena vema na huu ndio ukweli, kutishia kuua ni kosa haijalishi umemtishia nani. Lkn pia mtu kutishia kumuua Rais halafu unapowekwa kwenye mkono wa sheria ndio unasema nilikuwa natania sio sawa. Vipi mkipuuzia huo utana na akafanikiwa kufanya anachokiita utani, nani atalaumiwa hapo.
 
Televised address Cyprian Msiba amesema wazi wazi Lissu akirudi atampiga risasi afe na safari hatakosea shabaha! kipi kimechuliwa??? Spare me with rubbish
Nani alimfungulia mashtaka hata hatua ichukuliwe? Lissu akashtaki na atashinda maana mashahidi wako wengi.
 
Huyu katishia tu kwa maneno ..

Vipi wale waliokuwa wanamfatilia Lissu ,na hatimaye kumshambulia kwa risasi mchana kweupe, walishapatikana na kuhukumiwa...?
 
Naona mahakama imeongeza kasi katika kutoa maamuzi mapema
 
Duuuh mdomo ukiruhusu kinywa kila Ki2 kitamke kuna madhara Sana
 
Ile kamati ya ufundi iliyohusika pale ruangwa yenyewe haipatikani na adhabu kama hizi?
 
Kwa hiyo alimaanisha kumuua rais au ukweli unaoufahamu wewe ni upi?

Vyovyote iwavyo point yangu ni kuwa watu wausome utawala uliopo na kujua waende nao vipi.
nenda Heathrow aiport tishia una bomu halafu waambie natania uone kiama chake
 
Hata kama kuna uhuru hii si sawa kutishia kumuua mtu YEYOTE yule si sahihi hata kidogo. Sijui hata kama huko majuu wanafanya haya
"Joke or not, these types of comments are felonies under the law," the sheriff's office said in a statement Monday. "After the mass violence we've seen in Florida and across the country, law enforcement officers have a responsibility to investigate and charge those who choose to make these types of threatening statements."

The Volusia County Sheriff's Office arrested 18 students during the 2018-2019 school year for threatening to shoot up their schools, according to Laura Williams, the sheriff's spokeswoman.

Body-camera footage released by the sheriff's office shows the moment deputies handcuff the teen outside his home last week. His mother can be heard telling authorities that she understands threats cannot be taken lightly.
"But," she says, "he's just a little kid playing a video game."
 
Alikosea sana

Narudia tena Sijaona Kosa hapo, nimetoa mifano michache ya hicho unachokiita sheria, Hivi unajua iKila raia ana haki sawa mbele ya sheria ?, hao askari walioua na huyu aliyetania kwamba ataua, nani ana kosa linalostahiri adhabu ?, huyo kijana amekiri kwamba alisema hayo maneno wewe unataka kulazimisha kwamba amekiri alitaka kumuu, !!, wewe ni mtetezi wa wapangaji wa Ikulu ?, naamini unajaribu kujifanya mwehu ilhali una akili timamu, huyo malaika wenu mnamtetea ili mteuliwe ?, wengine mko mbali sana sio rahisi kuonwa, Kijana mmoja raia wa Argentina alimfyatulia risasi Papa John Paul ll mwaka 1984 lakini Papa aliamuru huyo kijana aachiwe huru !!
Papa John Paul 11 alifyatuliwa risasi mwaka 1981na raia wa Uturuki Mehmet Ali Agca katika jaribio la mahuaji kwenye viwanja vya St.Peters Basilica.
 
Back
Top Bottom