Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
moja ya maeneo ambayo huwa sipendi kuzoeana au kusogea ni maeneo ya stend,sokoni,vijiwe vya kahawa,wapiga viatu kiwi,na wauza magazeti,kwani maeneo hayo wazee wa kazi wako wa kutosha mno
Watu wengi huwa tunashindwa kujua hilo...Ni vema kusoma alama za nyakati, huu si wakati wa kufanya masihara.
Na kwa kasi hii hakuna mahabusu kukaa ndani zaidi ya mwezi mmoja. Ninahakika wote walioshtakiwa kabla yake sasa watapata hukumu zao kabla ya mwaka 2020, wakiwemo masheikh wa UAMSHO!!!!!!!!!!!!Katenda kosa tarehe 26/nov Leo tarehe 4/12 na hukumu tayari imeshatoka!!! Pongezi kubwa kwa Mahakama kwa kuendesha kesi ushaidi kukamilika na kutoa hukumu ndani ya wiki moja toka mshtakiwa kutenda kosa.Mahakama nyingine nchini kote ziige mfano huu maana kuna ndg, rafiki, jamaa zetu wengi sana wapo mahabusu bila kujua hatma ya mashtaka yao.
Majuu wanapiga mpaka risasi katuni yako.Hata kama kuna uhuru hii si sawa kutishia kumuua mtu YEYOTE yule si sahihi hata kidogo. Sijui hata kama huko majuu wanafanya haya
Na bahati mbaya sana wanalazimisha kupeleka watu magereza na wakati wanajua kabisa magereza nyingi kwa sasa hapa nchini zimejaa wafungwa na mahabusu zaidi ya uwezo wake wa kubeba lakini pia hazina uwezo hata wa kuwahudumia, mahabusu kwa mfano, anakuwa hajahukumiwa kwa hiyo kumuweka magereza ni gharama ya bure, kwani mwishowe huja kuachiwa halafu kama serikali mnakuwa mmeshaingi gharama za kumtunza, umaskini kwenye nchi hizi hautaisha, hizo fedha za kugharamia wafungwa zingeweza kuboresha pakubwa sana kwenye maeneo muhimu kama Afya na Elimu, Poor Africamagereza yanajaa kwa hukumu zisizo na kichwa
Si amekiri kosa huyo zumbukuku?hakuna haja kumcheleweshaKatenda kosa tarehe 26/nov Leo tarehe 4/12 na hukumu tayari imeshatoka!!! Pongezi kubwa kwa Mahakama kwa kuendesha kesi ushaidi kukamilika na kutoa hukumu ndani ya wiki moja toka mshtakiwa kutenda kosa.Mahakama nyingine nchini kote ziige mfano huu maana kuna ndg, rafiki, jamaa zetu wengi sana wapo mahabusu bila kujua hatma ya mashtaka yao.
Wakuu wa mahakama zamani walikuwa na akili nyingi sana, kuna aina ya makosa mtu alikuwa anpewa adhabu (kifungo cha nje) anakwenda kwenye ofisi ya serikali iliyo karibu nae anapangiwa kazi ya kufanya kwa muda wote wa hukumu yake, hawa wa sasa wanatoa hukumu huku wanaangalia picha ya rais iliyoko ukutana wanaogopa kwamba huenda rais anawaonaNi kutia tu viboko anarudi kwenda onesha mpira
Huyo alikiri kosa,hapo ulitaka Mahakama icheleweshe kesi kwa vipi?Katenda kosa tarehe 26/nov Leo tarehe 4/12 na hukumu tayari imeshatoka!!! Pongezi kubwa kwa Mahakama kwa kuendesha kesi ushaidi kukamilika na kutoa hukumu ndani ya wiki moja toka mshtakiwa kutenda kosa.Mahakama nyingine nchini kote ziige mfano huu maana kuna ndg, rafiki, jamaa zetu wengi sana wapo mahabusu bila kujua hatma ya mashtaka yao.
Sio mmoja. Imeripotiwa kuonekana kama ni kundi zima la raia 'wema'! Bila shaka hilo nalo lina mantiki yake.Huyo raia mwema mwenye kihere here hivyo ni sijawahi ona.
Sio kundi, ni lofa mmoja mlamba miguu ndie alienda kutoa taarifa kwa polisi, Vijana wa ccm waliua aliyekuwa mwenyekiti wa chadema geita, polisi mpaka leo hawajakamata hata mtu mmojaSio mmoja. Imeripotiwa kuonekana kama ni kundi zima la raia 'wema'! Bila shaka hilo nalo lina mantiki yake.
John mwenyewe si anatishia kuwapoteza watu hadharani!Ni kosa kisheria jamani, hata wewe ukitishwa kuuawa nenda kashtaki.Mimi nimewahi kumshtaki mtu kwa kunitamkia kwamba ataniua ila badae nikamuonea huruma sikwenda mahakamani mpaka kesi ikafutwa. Pamoja na hayo Rais ni nembo ya Taifa unatishia vipi kumuua hata kama unatania.
Tuache ushabiki wa kijinga.
Unahisi waliokuwepo kwny hilo banda la magazeti ni hao 'raia wema'?Masnitch wakamsnitch dogo... Noma sana.
Kuna misemo kwa mfano:Kesi ilikua rahisi kwa sababu alikiri