Kijana alawitiwa na kuchomwa kisu kisha kutupwa nje ya nyumba za watu maeneo ya Ubungo Msewe

Kijana alawitiwa na kuchomwa kisu kisha kutupwa nje ya nyumba za watu maeneo ya Ubungo Msewe

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
IMG_2424.jpeg

Dar es salaam, leo 26 July kuna kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 16 hadi 17 (jina linahifadhiwa) maeneo ya Ubungo Msewe amepatikana nje ya nyumba akiwa amejilaza huku akivuja damu nyingi sana maeneo yake ya siri yaani sehemu ya haja kubwa chanzo kikidaiwa ni kulawitiwa na wanaume wenzake kisha kuchomwa kisu na kutelekezwa barabarani.

Bibi Asha ambae ni mkazi wa eneo hilo ameeleza kuwa alishtushwa na kelele usiku wa saa 8 za kijana huyo akiomba msaada kuwa wamsaidie maana anakufa, ameeleza kuwa hiyo ni tabia ya kijana huyo akishalewa hupiga kelele ila jana ilikuwa tofauti.

Waziri Dkt. Gwajima D tafadhali fuatilia suala hili, tunaweza kumpoteza kijana huyu.

IMG_2422.jpeg

Hizi ni baadhi ya picha za kijana huyo akiwa mahututi lakini hakuna polisi aliyejitokeza hata baada ya kupigiwa simu.
 
Back
Top Bottom