Kijana alawitiwa na kuchomwa kisu kisha kutupwa nje ya nyumba za watu maeneo ya Ubungo Msewe

Kijana alawitiwa na kuchomwa kisu kisha kutupwa nje ya nyumba za watu maeneo ya Ubungo Msewe

Kuongezeka kwa matukio ya ajabu kama haya katika jamii. Ni ishara ya failure ya judiciary system.

Inafika kipindi watu wanaona watafute haki kwa njia nyingine
Mkuu our life style sometime defines a lot about us....kuna matendo mengine vijana hufanya Kwa kujikuta wao ni wajanja Sana, so siku akiingia Kwenye anga za makalidayo....matokeo ndio haya.
Judiciary iko Sawa sema inafelishwa na siasa zetu Tu.
 
Maisha yamekua tafran sana. Bila msaada wa Mungu hakika mtu kufa ni suala la kufumba na kufumbua
 
Nafikiri mngemuwahisha hospital hao polisi wakute mmemfikisha mtu hospital.

Inawezekana mngemuwahisha hospital damu isingevuja zaidi na ingesaidia kwenye kupona kwake.

Weka simu chini chukueni bajaji mkimbizeni hospital
Unadhan hospital watampokea bila kibali cha polisi.

Ni ubovu tuvwa sheria. Niliwah shuhudia mtu kapigwa risasi kalala chini watu wanapiga picha tu kila mtu anasubiri polisi,
 
Hii sheria ya kusubiri police wakati mtu ana kufa inabidi iangaliwe pia
Imagine mpaka daktari anaogopa kumtibu mgonjwa kama polisi hajasikia habari zake akabariki atibiwe, mpita njia je? Umembeba madaktari wanakataa kumpokea.
 
Mlevi ndio
kalawitiwa ndio
kisu je?

kuna gen z ya kibongo ipo maeneo ya pwani vijana wadogo wamepotea vbaya mno yani hana ndoto hataki shule kazi hataki

wao ni kuvaa vbaya kusokota dred basii
na wana viwanake vyao Visungura tope kuvaa vijora na vikofia

Sijui tutakua na jamii gani 10 yrs mbele
 
Mlevi ndio
kalawitiwa ndio
kisu je?

kuna gen z ya kibongo ipo maeneo ya pwani vijana wadogo wamepotea vbaya mno yani hana ndoto hataki shule kazi hataki

wao ni kuvaa vbaya kusokota dred basii
na wana viwanake vyao Visungura tope kuvaa vijora na vikofia

Sijui tutakua na jamii gani 10 yrs mbele
Pwani ya kibaha au
 
Well binadamu ni waovu lakini yapo matukio humpata mtu kwa sababu aliingia kwenye radar za watu.

Haiwezekani from no where mtu akamatwe alawitiwe achomwe kisu atekelezwe bila sababu za msingi,either akilewa ana tabia za kutukana watu hovyo au kuongea siri za watu.

kwahiyo kuna sababu za msingi za kuhalalilisha uuwaji na ulawiti?
 
Kuongezeka kwa matukio ya ajabu kama haya katika jamii. Ni ishara ya failure ya judiciary system.

Inafika kipindi watu wanaona watafute haki kwa njia nyingine

haki kwa njia nyengine ndio uuwe? tuache kushabikia mambo ya kishenzi
 
Uovu wa namna hii huleta laana katika nchi(ardhi) ambayo watu hukaa juu yake..
Mungu uturehemu.
Damu ya kiumbe kilichodhurumiwa uhai huwa inaongea na kulalamika ,haikai kimya mpaka kisasi chake kilipizwe.
Ewe mwanadamu jiepushe kudhurumu nafsi ya kiumbe wa mwenyezi Mungu.
 
Hizi ni baadhi ya picha za kijana huyo akiwa mahututi lakini hakuna polisi aliyejitokeza hata baada ya kupigiwa simu.
Na bado mkaendelea kumuangalia na kumpiga picha bila msaada 🚮🚮
 
Back
Top Bottom