Kuna siku nimeshuka jijini mbeya saa nane usiku,maeneo ya Kabwe,nikaenda Isanga huko nikapotea mtaa nyumba zimejaa mno,nikaona nirudi kwa Mfekemo hoteli,kabla ya kufika nikakatisha mitaa ya kati na kibegi,wasela wanakatiza kila kona,nikasema Leo Kuna jambo kufika kila njia boda siwaamini,kufika Makungulu migambo wakanipeleka kwa Mfekemo,it was tough day.Mwana kulitafuta, mwana kulipata!
Asilimia 80 ya vijana sahv ni walevi visungura dable kik si ndy zaoMiaka 16-17 kijana mdogo sana inakuwaje anakuwa mlevi?
Mshahara wa dhambi ni mauti
Ni sahihi, inasikitisha sana.Hii sheria ya kusubiri police wakati mtu ana kufa inabidi iangaliwe pia
Mwanza na simiyu nadhani aliyesababisha kupanda Kwa chati mnamjua vilivyo
Bibi Asha ambae ni mkazi wa eneo hilo ameeleza kuwa alishtushwa na kelele usiku wa saa 8 za kijana huyo akiomba msaada kuwa wamsaidie maana anakufa, ameeleza kuwa hiyo ni tabia ya kijana huyo akishalewa hupiga kelele ila jana ilikuwa tofauti.π³π€ππΏββ
Dar es salaam, leo 26 July kuna kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 16 hadi 17 (jina linahifadhiwa) maeneo ya Ubungo Msewe amepatikana nje ya nyumba akiwa amejilaza huku akivuja damu nyingi sana maeneo yake ya siri yaani sehemu ya haja kubwa chanzo kikidaiwa ni kulawitiwa na wanaume wenzake kisha kuchomwa kisu na kutelekezwa barabarani.
Bibi Asha ambae ni mkazi wa eneo hilo ameeleza kuwa alishtushwa na kelele usiku wa saa 8 za kijana huyo akiomba msaada kuwa wamsaidie maana anakufa, ameeleza kuwa hiyo ni tabia ya kijana huyo akishalewa hupiga kelele ila jana ilikuwa tofauti.
Waziri Dkt. Gwajima D tafadhali fuatilia suala hili, tunaweza kumpoteza kijana huyu.
Hizi ni baadhi ya picha za kijana huyo akiwa mahututi lakini hakuna polisi aliyejitokeza hata baada ya kupigiwa simu.
Wala Shetani hapendi hayo anataka binadamu tule bata tu tusiende kumwabudu Mungu .CCM ndiyo waovuBinadamu wamekuwa waovu sana. Shetani asipokaa rada binadamu watampindua.
Watoto wengi wanavuta bangi na kunywa visungura. Vilevi hatari vya bei ndogo.Miaka 16-17 kijana mdogo sana inakuwaje anakuwa mlevi?
Mshahara wa dhambi ni mauti
Sheria ya kidwanzi sana.Hii sheria ya kusubiri police wakati mtu ana kufa inabidi iangaliwe pia
Sio wake za watu hta ulevi wa kijinga kunywa mpka kutokujitambua lazima ufanyiwe kitu kibaya tusijui chanzo cha kisa ila tuogope wake za watu