Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Innalillah wainna illayhi rajiunWaungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Mimi ni rafiki yake na nimeshiriki mazishi...Innalillah wainna illayhi rajiun
Zimethibitishwa lakini?
Alitaka ampe mikoba dogo akaitosa anataka shuleNdicho nilichosikiaga
Inasemekana maza wake alihusika
Sayansi ya usiku noma aiseeAlitaka ampe mikoba dogo akaitosa anataka shule
Familia nyingine zinafuga madude ya ajabu ajabu
Katika kumshtua ili asiendelee na kile kipengele, ila Mzee Mwinyi alitoa macho!?[emoji23]Huu uzi umenifanya nijue watu wengi ni wajuzi juzi huku JF. Yaani hili tukio kumbe kuna watu hawakulijua. Ila halikuwa kofi wala kibao ni jamaa alimdokoa kidogo tu mzee mwinyi, kama vile tumbili [emoji626]
RIP Bro
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Sayansi ya usiku noma aisee
Hakua n dalili alikua anaishi msikitini pale shule alikua mcheshi sn
Hapana mkuu labda umesahau kidogo nimesoma naye darasa moja PCM Tabora Boys!
Duuh hii siikuisikianasikia alipokua Tabora Boy's aliwahi kumpiga mateke Second Master alipokuja kukagua wanafunzi waliojificha msikitini hawaendi class.
Sababu ya kumpiga mateke ni kumzuia mwalim ambae ni kafiri asikanyage ndani ya msikiti ataweka najisi.
pia nasikia alimalizaga topic zote za Advance akiwa form five hivo akawa anaishi msikitini tu. Akapigwa suspension akarudi kwao mpaka NECTA.
Tushapoa mkuuPole ya kupoteza!
Yeah uko sahihi kabisa mmmmh ulikuwa "woso" wewe bila shaka!!!nasikia alipokua Tabora Boy's aliwahi kumpiga mateke Second Master alipokuja kukagua wanafunzi waliojificha msikitini hawaendi class.
Sababu ya kumpiga mateke ni kumzuia mwalim ambae ni kafiri asikanyage ndani ya msikiti ataweka najisi.
pia nasikia alimalizaga topic zote za Advance akiwa form five hivo akawa anaishi msikitini tu. Akapigwa suspension akarudi kwao mpaka NECTA.
hivi ndio kamaliza darasa moja na kina Halord Madeha
Mgeni Makambi
Nila Jackson
Hansbert Kishamba
Paul Kipeja
Deus Opiyo
Mkuu samahani kama una ufahamu na hili ninalokuuliza...Hivi shekhe Majid bado ndio imamu wa hapo msikitini?.Tushapoa mkuu
Ila bora katangulia alikuwa na vurugu kitaani
Usikute aliokuwa anawakimbiza class walishatoboa yeye hakieleweki lazima uwe chiziAlikiwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chizi
Maisha haya .......
Watakua wamemsomea albadiri afe hili wapate sawabu kwa muddy......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hayaJifunze kuwa na heshima kwa watu wakubwa.
Unamuita Muhammad. Kama unaitwa mtoto wako?
Acha dharau.muhammad na yesu hawana tofauti wapo daraja moja.
NI MITUME WA MWENYEEZI MUNGU
Hapana
2007 alikuwa Form Six Tabora Boys
Tukio ni la km la kuanzia 2010 hivi