Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 277
- 367
- Thread starter
- #161
Kaulizepale Ilala Boma !!!Vipi na yule Mhuni aliyemshambulia Mzee Warioba yeye hakuchukuliwa hatua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaulizepale Ilala Boma !!!Vipi na yule Mhuni aliyemshambulia Mzee Warioba yeye hakuchukuliwa hatua.
Msikirini unashusha bondeni kidogoMsiba upo Mabibo sehemu gani? Kule maeneo ya Kwa Mkuzuge bondeni au?
Poleni sana.Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Alipigwa lini
Alimpiga kof lin?
2005/2007Du mwaka gani hapo Tbr Boys?
Hakua n dalili alikua anaishi msikitini pale shule alikua mcheshi snAlikuwa na dalili zote za uchizi uko Tabora boys?A level alipataje matokeo?
2007Mwaka gani mlimaliza?
itakuwa tupo majirani mkuu. .....Poleni sana.
Dogo namfahamu sana,tangu anasoma hapo Umoja mpaka alipojiunga na IIboru zama hizo mimi nipo Technical college Arusha alikuwa baadhi ya weekend akija town hupitia College kunipa hi.
Kwa town tulikuwa tunaishi jirani bondeni kule karibu na kwa kidevu.
Mi ndio maskani kwangu huko ingawa kwa sasa nipo nje ya Dar kdg.itakuwa tupo majirani mkuu. .....
Alimaliza form IV mwaka 2004... alikua akiishi bweni la rungweMwaka gani alimaliza Ilboru?
Sawa mkuuMi ndio maskani kwangu huko ingawa kwa sasa nipo nje ya Dar kdg.
Kijiwe changu cha kupandia bodaboda ilikuwa hapo juu msikitini kwenye kibanda cha muuza matunda wa kuitwa Swahiba.
Poa poa mkuu.Sawa mkuu
Mii nilishama mkoa ila wiki hii nipo likizo Mabibo msikitini hapa
Poa poa mkuu.
Pamoja.
Hili ni darasa kwa wajinga na watu wanatumika kuharibu taifa Lao. Adhabu ni kali sana sana. Ninapo ona mtu anaandika au kutukana namuonea huruma sana.Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Ukifanikiwa kumpiga Rais utakuwa maiti Kabla yakuwa maiti hii sio kwa amri ya Rais ila amri kutoka juu.Alikiwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chizi
Maisha haya .......