TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Nafikiri siyo lazima kila kitu tuilaumu Serikali, kwa waliona video ya tukio zima toka mwanzo, jamaa alipigwa sana na waumini wenzie hasa wale wanaovaa masuruali yanayoishia ugokoni wataniwa waiitwa 4Wheel alipigwa hasa kila sehemu ya mwili kwa kutumia ngumi, mateke, viatu na kila kilichokuwa karibu. Kuna madai kuwa kuna mtu alisema kuwa jamaa ni kafir hivyo watu wakapandwa na hasira. Ikumbukwe mzee Mwinyi alikuwa kipenzi cha wengi hivyo kwa kumpiga jamaa alivuna alichopanda.
Alitenda tukio wakati dish linayumba
Majirani na rafki zake tulimfahamu vizuri
 
Asante kwa taarifa mkuu. Ninaona wengi wanauliza Mzee alinaswa lini kibao. Ni wazi umeshapita muda mrefu kiasi baadhi ya watu hapa walikuwa hawajazaliwa, au walikuwa wadogo sana.

Poleni kwa msiba hapo mabibo na jamii yote mliguswa na msiba huu
 
Asante kwa taarifa mkuu. Ninaona wengi wanauliza Mzee alinaswa lini kibao. Ni wazi umeshapita muda mrefu kiasi baadhi ya watu hapa walikuwa hawajazaliwa, au walikuwa wadogo sana.

Poleni kwa msiba hapo mabibo na jamii yote mliguswa na msiba huu
Tukio ni la 2009 au 2010 hivi.......
 
Si aliyempiga makofi ni aliyemshambulia rais mwinyi
 
Yule misimamo ya dini ilimharibu, Answari Sunn hata wakati anasoma alikuwa anapenda kupigana sana karate, kuwachukia wasiopenda misimamo yake
Waungwana

Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii

Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu

Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
 
Back
Top Bottom