nangundi ngushoro
New Member
- Aug 8, 2017
- 1
- 1
Sema jamaa alikuwa na fujo sana mtaani ata wakati mwengine kupelekea kupigwa,pia kifo chake nimesikia kmetokana na fujo alianzisha mahali walikuwa hawajui kama ni chizi wakampiga na aliporudi nyumban kwao kalala hsubuhi kuamka amekutwa amekufa,ila sizan kama kipindi kile alipgwa sana maana surutan mara nyingi amekua yupo strong ukimuona na mtu wa hivi kama hujui ngumi umpgi kwan ananguvu zake.