Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh. Wahuni wa Mburahati, kigogo na Mabibo Leo walitoka bila bila.Mwezi wa Ramadhan huu tumezikabila ubwabwa
Kumbe alikuwa kipanga.Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Ni zaidi ya miaka mitano. Maana ilikuwa miaka ya 90.
Tangu la kwanza alikuwa anakamata # 1 shule nzimaKumbe alikuwa kipanga.
Haikuwa miaka ya 90, ilikuwa 2007 au 2008.Ni zaidi ya miaka mitano. Maana ilikuwa miaka ya 90.
HapanaHaikuwa miaka ya 90, ilikuwa 2007 au 2008.
Hajui, Ana kiburi sana, anadharau IST, anadharau viongozi wenzake, anadharau viongozi wa dini, anadharau kila mtu isipokuwa yule jamaa wa Mabuludoza utadhani ndiye aliyemuumbaSiku yake itafika tu
Alimpiga wakati Mwinyi bado Rais au juzi juzi hapa?Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
miaka ya hivi karibuniAlimpiga wakati Mwinyi bado Rais au juzi juzi hapa?
Huyu Mwinyi nae alipenda kupigwa, uzee wote huo bado anahimiza kondom za mini sasa?Miaka mitano imepita
Mzee Mwinyi msiba huu ingependeza kama atahudhuria au kupeleka rambirambi zake
Ni 2009Mkuu Manengelo ni miaka 7 au 8 iliyopita
Mkuu
Km nimekosea ni kati ya 2010---2012 hivi