TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Waungwana

Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amrfariki dunia asubuhi hii

Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondom ambayo ni kinyume na omani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Poleni wafiwa
 
Waungwana

Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amrfariki dunia asubuhi hii

Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondom ambayo ni kinyume na omani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Halafu lile halikuwa kofi, kilikuwa ni kibao, alimnasa mzee Mwinyi kibao
 
Back
Top Bottom