Unataka kupafahamu au kujua ni kitu gani?niliwahi kuona video youtube ila sikujua baada ya pale alipelekwa wapi ?
huko safe house ndio wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kupafahamu au kujua ni kitu gani?niliwahi kuona video youtube ila sikujua baada ya pale alipelekwa wapi ?
huko safe house ndio wapi mkuu
kuna sehemu ya kusitirika zaidi ya kaburini mkuru?Muumba mppkee mja wako na umsitiri sehemu anayostahili
Usifanganyike utaachiwa mbele za watu lakini kitakachokupata utajutaMzee mwinyi alisema wamsamehe, wakamuachia.
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
kama ni miaka ya 90 basi sema ni zaidi ya miaka 15. kwamaana hata ingekuwa ni 99, hadi leo ni miaka 20. au we waitara, maana hesabu zako unazjua mwenyeweNi zaidi ya miaka mitano. Maana ilikuwa miaka ya 90.
kama ni miaka ya 90 basi sema ni zaidi ya miaka 15. kwamaana hata ingekuwa ni 99, hadi leo ni miaka 20. au we waitara, maana hesabu zako unazjua mwenyewe
sijaona jibu, upupu tu uliochorachoraAre you drunk? Niliemjibu aliandika miaka mingapi?
Alisoma miaka miwili zamani ila hakumaliza dish lilishayumba.....Jamaa nilikuwa namuona IFM ila hadi namaliza nilikuwa sijui anasoma course gani. Alikuwa akiingia lecture yoyote anazingua mara anazima AC au taa halaf anasepa, alikuwa anapiga pensi fulani ndefu hiv na kichwani para
#R.I.P
Tofauti ya kofi na kibao ni ipi ? Kiswahili kipanaHalafu lile halikuwa kofi, kilikuwa ni kibao, alimnasa mzee mwinyi kibao
Aisee.Alikiwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chizi
Maisha haya .......
Hahaha, baada ya kulambwa vibao sio?Mzee Mwinyi msiba huu ingependeza kama atahudhuria au kupeleka rambirambi zake
Jamaa alkua Fresh classTulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Yule aliyempiga Judge Warioba siku nakufa jiji la Dsm litarindima kwa furahaWaungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu