TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Waungwana

Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii

Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu

Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Bado ubwabwa upo?
Huyu ni mwislam mwenzetu lzm tukale ubwabwa.
Je kilichomuondoa uhai mpiga makofi ni kutumia kondoa au kutotumia kondomu?
Imani sawa. Tumia na sayansi
 
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys

Baada ya hapo matatizo yakaanza
Kule alikopelekwa baada ya kupiga sirikale...ndio slimoanzia huo ugonjwa!
Mengine tujifunze kumezea tu!
maana ndio vile...kaisari naye yupo...
 
Bado ubwabwa upo?
Huyu ni mwislam mwenzetu lzm tukale ubwabwa.
Je kilichomuondoa uhai mpiga makofi ni kutumia kondoa au kutotumia kondomu?
Imani sawa. Tumia na sayansi
Mwezi wa Ramadhan huu tumezikabila ubwabwa
 
Back
Top Bottom