Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 277
- 367
- Thread starter
- #61
Uchizi ni ugonjwa humpata yoyote tuJamaa alkua upsatairs kichwan
Shida ni nn hasa maskini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchizi ni ugonjwa humpata yoyote tuJamaa alkua upsatairs kichwan
Shida ni nn hasa maskini
Atachinjiwa MagogpniHakuna was kijitoa mhanga ampige JIWE?
Sasa hivi si ndo RC .....Na huyu aliyemiga Joseph Warioba kwa nn hafiiiiii.....??????
Naona umemuachia Swalehe simu aje atuvuruge huku jf ,Upstairs na kichwani ni niniJamaa alkua upsatairs kichwan
Shida ni nn hasa maskini
Siku yake itafika tuYule aliyempiga Judge Warioba siku nakufa jiji la Dsm litarindima kwa furaha
Yesu katoa na Yesu katwaa jina la bwana liidimiweOlevel na Advance level alipata sio tu division one bali one ya kuweza kuchaguliwa shule ya Vipaji maalum Tabora boys na Ilboru tena zile za kabla ya Shule za Kata
Mungu ampe kauli thaabet
HahahaNaona umemuachia Swalehe simu aje atuvuruge huku jf ,Upstairs na kichwani ni nini
Sijui kiingereza vizur mkuu naomba unielekeze mkuu wanguNaona umemuachia Swalehe simu aje atuvuruge huku jf ,Upstairs na kichwani ni nini
Kofi unaskia poooo la shavu na kibao unaskia paaaaaa...Tofauti ya kofi na kibao ni ipi ? Kiswahili kipana
[emoji2960][emoji2960]Kofi unaskia poooo la shavu na kibao unaskia paaaaaa...
Nani huyo?Na huyu mbwa Mr zero aliyemiga Joseph Warioba kwa nn hafiiiiii.....??????
So bad,Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Bado ubwabwa upo?Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Kule alikopelekwa baada ya kupiga sirikale...ndio slimoanzia huo ugonjwa!Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naona umemuachia Swalehe simu aje atuvuruge huku jf ,Upstairs na kichwani ni nini
huyo ni wewe? [emoji5][emoji2960][emoji2960]
Mimi sijui mkuuKule alikopelekwa baada ya kupiga sirikale...ndio slimoanzia huo ugonjwa!
Mengine tujifunze kumezea tu!
maana ndio vile...kaisari naye yupo...
Mwezi wa Ramadhan huu tumezikabila ubwabwaBado ubwabwa upo?
Huyu ni mwislam mwenzetu lzm tukale ubwabwa.
Je kilichomuondoa uhai mpiga makofi ni kutumia kondoa au kutotumia kondomu?
Imani sawa. Tumia na sayansi