TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Wewe umesoma Warsaw...na ni mtoto wa 2005/2007 hapo kati
 
Laana ilikuwa inamfuata

Hahaaa
 
Mkuu, hivi ni kwanini umeamua kutumia AVATAR ya mwanamke mrembo wakati wewe ni kidume?
 
Mwinyi alimsamehe
Mjifunzege, nguvu ya msamaha hiyo! kafa kijana mzee kabaki! je kwani huyu kijana alipata nafasi ya kumuomba Rais mstaaf Mwinyi msamaha?

kama kijana hakufanya hivo watu wake wa karibu walifanya hivo? je watafanya?

Au aliongozwa na kiburi cha uzima? amewekwa pahala gani huko kuzimu unadhani!

Nape na Makamba wameomba! wako salama sana! hata wakifa leo poa tu! kazi sasa inabaki kwa aliyeombwa!

Mleta mada Mwinyi alihudhuria? je wewe uko kwenye mazishi hapo?

Usichekecheke nenda kawashauri waombe msamaha kwa niaba ya Marehemu, haraka sana, kabla Mwinyi hajafa, usipofanya hivo na wewe umo!

wote Manzi ga Nyanza tu!

Usiniulize kwa nini!
 
Nafikiri imani yake ilimruhusu kuchukua hiyo hatua
 
hivi bado hajapatikana wa kumchapa kofi huyu wa chato
 
Kwakweli inashangaza sana! Kidume tena aliyesoma shule za boys tupu anajiitaje mama debora? Au huko shuleni walikuwa wanampumulia?
Musiyakuze kiswahili swahili, mama Debora ni kipenzi chake cha moyo japo wameachana! bado anamkuna kunako moyo/penda
 
Kwakweli inashangaza sana! Kidume tena aliyesoma shule za boys tupu anajiitaje mama debora? Au huko shuleni walikuwa wanampumulia?
Hawa ndio wanaosumbua huko kwenye mitandao kama badoo, hitwe n.k kwa kuomba NAULI Wanaume wenzao wakijifanya ni wadada warembo. Hatari sana.
 
Alikutana na brain washer wakampa zile akili za kina al Baghdad na Jihad John basi,elimu yake inakuwa haina maaana tena, hahahahahaha
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys

Baada ya hapo matatizo yakaanza
I
 
Huyu walipomtoa hapo alichezea sana
Kichapo sema kichwani hakuwa sawa
Huyu

Ova
 
Mama yake alimuombea msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…