Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Poleni wafiwaWaungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amrfariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondom ambayo ni kinyume na omani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Daaah, poleni sana wafiwa. Nilibahatika kumuona mshiķaji wakati dishi tayari limeshayumba.Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma Mzumbe
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Alikuwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chiziduh, kumbe jamaa alisoma
mi nilidhani ni mtu fulani ambaye hakua amesoma
Wakati anafanya tukio kwa Mzee wetu Ruksa, niliambiwa kama alikuwa chuo.duh, kumbe jamaa alisoma
mi nilidhani ni mtu fulani ambaye hakua amesoma
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma Mzumbe
Baada ya hapo matatizo yakaanza
HakumalizaWakati anafanya tukio kwa Mzee wetu Ruksa, niliambiwa kama alikuwa chuo.
Wote waongo nmesoma naye mm kule kantalamba.Hapana mkuu labda umesahau kidogo nimesoma naye darasa moja PCM Tabora Boys!
Utakuwa upo sahihiHapana mkuu labda umesahau kidogo nimesoma naye darasa moja PCM Tabora Boys!
Mimi mwenyewe kumbukumbu yangu inaniambia kamaliza Tabora boysHapana mkuu labda umesahau kidogo nimesoma naye darasa moja PCM Tabora Boys!
Halafu lile halikuwa kofi, kilikuwa ni kibao, alimnasa mzee Mwinyi kibaoWaungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amrfariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondom ambayo ni kinyume na omani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Yeah bila shaka!Mimi mwenyewe kumbukumbu yangu inaniambia kamaliza Tabora boys
Miaka mitano imepita
Nimerekebisha mkuuMimi mwenyewe kumbukumbu yangu inaniambia kamaliza Tabora boys
Du mwaka gani hapo Tbr Boys?Mimi mwenyewe kumbukumbu yangu inaniambia kamaliza Tabora boys
Nini hasa kilipekea hayo matatizo ya akili? Ni ya kifamilia au? Anaonekana alikuwa na uwezo mkubwa darasani mwanzoni kwa hizo shule.Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Sijui mkuu.......Nini hasa kilipekea hayo matatizo ya akili?Ni ya kifamilia au?Anaonekana alikuwa na uwezo mkubwa darasan mwanzoni kwa hizo shule
Alikuwa na dalili zote za uchizi uko Tabora boys? A level alipataje matokeo?Hapana mkuu labda umesahau kidogo nimesoma naye darasa moja PCM Tabora Boys!