TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

TANZIA Kijana aliyempiga makofi Rais Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

Nimekumbuka huyo jamaa aliyeenda Kibaha alikuwa weupe,mwembamba mrefu kiasi anakaa Loyola barabarani kwenye karibu na kona pale
Alisoma na kina shishi nn Kuna jamaa mmoja alichagukiwa kibaaha sekondari toka hapo umoja
Darasa la Saba 2000 kitu Kama hicho
 
Asante kwa taarifa mkuu. Ninaona wengi wanauliza Mzee alinaswa lini kibao. Ni wazi umeshapita muda mrefu kiasi baadhi ya watu hapa walikuwa hawajazaliwa, au walikuwa wadogo sana.

Poleni kwa msiba hapo mabibo na jamii yote mliguswa na msiba huu
Madogo yamejazana hapa jukwaani.
Nimeshangaa, jamaa katupia Uzi fulani kuhusu Sheikh Ponda, dogo fulani kauliza, 'Kwani Sheikh Ponda ndiye nani mkuu?'
 
Yes
Tena alipata zari hakuwa mzuri Sana clas kiasi Cha kuchaguliwa kibaha
Nahisi alikas na kipanga kwenye mtihani[emoji6][emoji6]
Nimekumbuka huyo jamaa aliyeenda Kibaha alikuwa weupe,mwembamba mrefu kiasi anakaa Loyola barabarani kwenye karibu na kona pale
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Miaka ya 90 sa hv ni over 20 yra bwana. Mitano tena!

Hilo ni jibu kwa mtu aliesema ni karibu miaka 5 iliyopita. That's why nikamjibu hivyo.
Btw; over 5 ipo included kwenye over 20.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Yes
Tena alipata zari hakuwa mzuri Sana clas kiasi Cha kuchaguliwa kibaha
Nahisi alikas na kipanga kwenye mtihani[emoji6][emoji6]
Umenikumbusha pia kuna demu aliitwa Sophia bonge alikuwa abagegedwa na Ticha Kilapilo naye tulishangaa alichaguliwa Vituka

Vipanga walikuwa Ibra,Jacobo,Sebastian
Kuna mademu pia nimewasahau
 
nasikia alipokua Tabora Boy's aliwahi kumpiga mateke Second Master alipokuja kukagua wanafunzi waliojificha msikitini hawaendi class.

Sababu ya kumpiga mateke ni kumzuia mwalim ambae ni kafiri asikanyage ndani ya msikiti ataweka najisi.

pia nasikia alimalizaga topic zote za Advance akiwa form five hivo akawa anaishi msikitini tu. Akapigwa suspension akarudi kwao
mpaka NECTA.

hivi ndio kamaliza darasa moja na kina Halord Madeha
Mgeni Makambi
Nila Jackson
Hansbert Kishamba
Paul Kipeja
Yaqubu
Deus Opiyo
Yes ila hill LA kumpiga Masele sikuwah kuliskia pia hakuwah pewa suspension ,kuhusu kumaliza syllabus in kawaida ya Waboizia,,Hao uliowataja aliomaliza nao ni Harod Makambi Nila na Opiyo Tu wengine walikua Nyuma,Bila Shaka utakua ulikua JIRAN pale
 
Yes ila hill LA kumpiga Masele sikuwah kuliskia pia hakuwah pewa suspension ,kuhusu kumaliza syllabus in kawaida ya Waboizia,,Hao uliowataja aliomaliza nao ni Harod Makambi Nila na Opiyo Tu wengine walikua Nyuma,Bila Shaka utakua ulikua JIRAN pale

Basi wewe labda ulikua darasa moja nyuma yake. Maana issue ya kumpiga Masele teke ilivuma sana shule nzima. Mpaka kukawa na bifu la waalimu makafiri na wanafunz waislamu wanaoshinda kule jidi.

Walimu walitaka msikiti ufungwe kabisa, sema bahati nzuri Headmaster Mrisho alikua muislamu ndio ikawa nafuu yao.
Na pia waliokua wanalala kule Jidi wote walikua wanafaulu vizuri tu mfano kina Katuta Ramadhani, Masumbuko Sadiki.

Kumaliza syllabus ndio kulipelekea apigwe sanspaa sijui wewe ulikuaga haupo shule labda. Tena siku hiyo Paredi waliitwa kama wanne na IBRA akiwemo, wakasepeshwa home.

Nachoshangaa pamoja na kumaliza syllabus mapema bado jamaa alipiga division three form six.

Halafu wakati kafika pale form five akawa anawauliza wanafunz waboys eti:
"Hivi na nyie hapa huwa mnasoma huku mna mawazo ya kuwa ma-TO kama Ilboru"

Haya matukio yote yanatokea wewe ulikuaga wapi?? Ulikua unajichimbia chemba za Umuofia pale kwa David Lachman jamaa aliehama kutoka HGL kwenda PCB kisha akatoka na Division Zero form six yenu.
 
inakuaje rais mstaafu anaachwa kirahisi ivyo mpaka kufikia hatua ya kuwambwa ma banzi.
 
Makofi muda mwingine yanasaidia ukimchapa asiyechapwa.Waliofariki Leo Ni wengi lkn hakuna wanaojua zaidi ya ndugu na jamaa.Sijui na mie nimlambe kelbu Nani ili nisijekufa kama kuku maana sitarajii kuwa star kwa kuimba,kucheza Wala fani yoyote pendwa.
 
Makofi muda mwingine yanasaidia ukimchapa asiyechapwa.Waliofariki Leo Ni wengi lkn hakuna wanaojua zaidi ya ndugu na jamaa.Sijui na mie nimlambe kelbu Nani ili nisijekufa kama kuku maana sitarajii kuwa star kwa kuimba,kucheza Wala fani yoyote pendwa.
Kamchape ndondi jiwe au bashite! Utakuwa famous kuliko wao
 
Back
Top Bottom