Kijana amuua mama wa kambo akidai amemroga. Umasikini ni mbaya kuliko Corona

Haya sawa.
 
Wewe kweli ndondocha unasema hakuna uchawi?? Unapingana na maandiko matakatifu wewe?! Biblia inakiri uchawi harafu wewe mnywa gongo unasema hakuna uchawi kengemaji wewe
 
Umeandika mikojo mitupu sijui watu humu mnatumia nini kufikiri unataka kuniambia maskini wote ni wachawi au wanaamini uchawi?? Mbona mfano wako ni irrelevant kabisa?? Kwataarifa yako asilimia 99 Kama sio 100 ya matajiri wote ni washirikina acha uvivu wa kufikiri
 
Dawa ya mchawi ni kumtia shoka la kichwa tu.

Wakiwa gizani wanaroga sana hawa na kuharibu hatima za watu. Wana roho mbaya na chafu kama mashetani.

Kwahiyo dawa ni SHOKA tu.

Na mimi nasema KATA SHOKA.

Maneno ni mawili tu... K.A.T.A S.H.O.K.A.
Utajuaje fulani ni mchawi?

Wewe kata shoka then subiri na wewe serikali ikung'oe shingo.

Ukigundua mama yako mchawi utampiga shoka?
 
Hapa waganga wa kienyeji watakuwa wamehusika kumjaza huyo muuaji ujinga
 
Umasikini, Ujinga na kukosa elimu au elimu duni ndio inapelekea kutokea haya mambo yasiyo na utu.

Sijawahi sikia marekani kuna mtu amepigwa panga sababu mchawi.
Hayo yalikuwapo miaka 1000 nyuma enzi za Ujinga sio leo.
 
Wewe kata shoka then subiri na wewe serikali ikung'oe shingo.
Bila shaka wewe ni mchawi na unajitutumua kunitisha.

Nikueleze tu kuwa, sitishiki.

Na ukikaa vibaya nitakuvunja kiuno kwa namna ya ajabu mno.

Na kwa sababu sheria za nchi zinatambua uchawi, huko pia nitakushughulikia kikamilifu.

Salama yako ni kutupa matunguli na kujisalimisha kwa Yesu Kristo.
 
Embu acha kurukaruka kama tasi aliyetolewa baharini na ujibu yale maswali.

Unajuaje fulani ni mchawi?

Na ukigundua mama yako ni mchawi utampiga shoka?

Kitendo cha kushindwa kujibu hayo maswali kitathibitisha kwamba asilimia yote ya watu wanaoamini uchawi ni wajinga, wasiojitambua, masikini na wasio na elimu.

Jibu hayo maswali mepesi hapo juu au bila shaka nitakuwa nipo sahihi na unakubaliana na ukweli.
 
Wachawi na vigagula mmeanza kutoka mashimoni mmoja mmoja.

Wewe endelea kuabudu mapepo, lakini ukija kwenye uwanja wangu nitakuvunja kiuno in a very brutal fashion.
 
Reactions: EEX
Hahahah ach kudanganya wanaume
Kucheka cheka kunaashiria mtu aliyeingiwa na woga.

Ndio maana unajitahidi kujichekesha hapa na pale ili ujifariji kwamba hauna hofu.

Hapo nimekupiga tu biti uchwara, lakini umeanza kujikojolea na kujinyea simultaneously.

Nikiingia kazini hata hivyo vijimizimu vyako bandia vitasalimu amri na kutokomea.
 
Mkundu wako wewe ..kama unadhani nina hofu na wewe, kumalamamayo!
Ona chawi hili limeshapagawa.

Pandisha mizimu yako uchwara hiyo nikushughulikie vizuri.

Mtu ambaye hana hofu huwa hasemi "sina hofu".

Wewe ni kigagula mwoga. Usibishe wakati naona unajinyea!
 
Hujaona dunia bado acha wewe.
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
 
Wewe kweli ndondocha unasema hakuna uchawi?? Unapingana na maandiko matakatifu wewe?! Biblia inakiri uchawi harafu wewe mnywa gongo unasema hakuna uchawi kengemaji wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dawa ya mchawi ni kumtia shoka la kichwa tu.

Wakiwa gizani wanaroga sana hawa na kuharibu hatima za watu.

Wana roho mbaya na chafu kama mashetani.

Kwahiyo dawa ni SHOKA tu.

Na mimi nasema KATA SHOKA.

Maneno ni mawili tu... K.A.T.A S.H.O.K.A.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…