Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Habari JF members,
Kuna kijana anatafuta kazi yeyote ile kijana anaitwa WAZIRI GAO.
Elimu yake ni form four. Anapatikana Dar es Salaam. Alitoka Same akaja Dar es Salaam kutafuta maisha bahati mbaya hajafanikiwa.
Anaweza kufanya kazi zifuatazo:
1. Za ndani
2. Kuuza duka,
3. Shamba boy,
4. Kuosha magari,
5. Kulima,
6. Saidia fundi
N.k
Anasema yupo tayari kufanya kazi kwa mshahara wowote ule ili mradi tu apate sehemu ya kulala na chakula.
Namba zake za simu: 0688858751
Kuna kijana anatafuta kazi yeyote ile kijana anaitwa WAZIRI GAO.
Elimu yake ni form four. Anapatikana Dar es Salaam. Alitoka Same akaja Dar es Salaam kutafuta maisha bahati mbaya hajafanikiwa.
Anaweza kufanya kazi zifuatazo:
1. Za ndani
2. Kuuza duka,
3. Shamba boy,
4. Kuosha magari,
5. Kulima,
6. Saidia fundi
N.k
Anasema yupo tayari kufanya kazi kwa mshahara wowote ule ili mradi tu apate sehemu ya kulala na chakula.
Namba zake za simu: 0688858751