Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Mwambie Aende G1 security Akafanye kazi ya Ulinzi, Pale Kazi Atapata.Habari JF members,
Kuna kijana anatafuta kazi yeyote ile kijana anaitwa WAZIRI GAO.
Elimu yake ni form four. Anapatikana Dar es Salaam. Alitoka Same akaja Dar es Salaam kutafuta maisha bahati mbaya hajafanikiwa.
Anaweza kufanya kazi zifuatazo:
1. Za ndani
2. Kuuza duka,
3. Shamba boy,
4. Kuosha magari,
5. Kulima,
6. Saidia fundi
N.k
Anasema yupo tayari kufanya kazi kwa mshahara wowote ule ili mradi tu apate sehemu ya kulala na chakula.
Namba zake za simu: 0688858751
Kabisa aende G1 pale hakosiMwambie Aende G1 security Akafanye kazi ya Ulinzi, Pale Kazi Atapata.
Ana umri gani??,Habari JF members,
Kuna kijana anatafuta kazi yeyote ile kijana anaitwa WAZIRI GAO.
Elimu yake ni form four. Anapatikana Dar es Salaam. Alitoka Same akaja Dar es Salaam kutafuta maisha bahati mbaya hajafanikiwa.
Anaweza kufanya kazi zifuatazo:
1. Za ndani
2. Kuuza duka,
3. Shamba boy,
4. Kuosha magari,
5. Kulima,
6. Saidia fundi
N.k
Anasema yupo tayari kufanya kazi kwa mshahara wowote ule ili mradi tu apate sehemu ya kulala na chakula.
Namba zake za simu: 0688858751
Yah, umri wake kwanza tujueAna umri gani??,
21Ana umri gani??,
Duh! Maisha unayajua lakini? Kikubwa aombe mungu tuHuyu bado ni mdogo atatoboa mno
Ukiona kampuni ya ulinzi ina nafasi za kazi musa wote.Kabisa aende G1 pale hakosi
"Afu" nane hata kwa saa 8 kwa siku ni ukiukwaji wa haki za binadamu.Fursa hiyo kama uko dar