Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂Nimecheka mzee Ata kumtia moyo hapanaKuna mambo sio ya kushauriwa ye kama kampata mrangi aoe waanzie kwenye hiyo scratch ila life has no guarantee wanaweza kubaki kwenye scratch for the whole life
Life sio poa aisee usione mtu mzima kapanga tena gheto ukazani alichezea maisha ni hapana you give everything na bado radar zinagoma😂Nimecheka mzee Ata kumtia moyo hapana
Mpeni wosia kidogo kijana wetu
Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
View attachment 3140920
Kwaiyo wahaya ndio mnaona mseleleko au vp🤣Wifi ni muhaya?
Nasisitiza kila mara humu.Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
ni muhaya lakini hana maji.Wifi ni muhaya?
Hamna sio hivyo, nmeona hajatoa nylon tu hapo kwenye godoro.Kwaiyo wahaya ndio mnaona mseleleko au vp🤣
😂Hivi mzee unadhani siku hizi kuna sehemu panaitwa kijijiniAtafute wa kijijini
Una Uchokozi na wahayaWifi ni muhaya?
Kwa hiyo life yake anaenda kupigwa matukio, mshauri ajiandae kisaikolojia.Mpeni wosia kidogo kijana wetu
Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
View attachment 3140920
Inaonekana anatamani kuuza na hilo godoro ili alale chini kabisa...!!Mpeni wosia kidogo kijana wetu
Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
View attachment 3140920