Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Mm naingiza 30k per day Ila sina Ata mpango huoNi kweli ila sio from scratch
Ana hela?Mpeni wosia kidogo kijana wetu
Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
View attachment 3140920
Ni kweli kabisa. Watanzania wengi wamebaki kwenye scratch maisha yao yoteKuna mambo sio ya kushauriwa ye kama kampata mrangi aoe waanzie kwenye hiyo scratch ila life has no guarantee wanaweza kubaki kwenye scratch for the whole life
30k per day bado ndogo sana kuoa🤣Mm naingiza 30k per day Ila sina Ata mpango huo
Mweee unaona mbali ume zoom nylon isaidie maji ya mto Nile yasi sambaratikeWifi ni muhaya?
Anatafut kupoteza hata hilo godoroMpeni wosia kidogo kijana wetu
Ndio kaanza life tu anataka kuoa waanzie from scratch.
View attachment 3140920
Wengi sanaNi kweli kabisa. Watanzania wengi wamebaki kwenye scratch maisha yao yote
30k per day bado ndogo sana kuoa
Hivi unajua matumizi ya mwezi ukiwa na familia? Kodi, umeme, maji, chakula, usafiri, ugonjwa etc.Kwahiyo kuoa kumbe Unatakiwa uwe unaingiza milion ngap🤣
Nina familia ya watu watano by the way wadogo zangu watatu na mzee mtu mzima(kwny hiki kpngle chakula ni mtiti kinoma) hayo mengine kawaidaHivi unajua matumizi ya mwezi ukiwa na familia? Kodi, umeme, maji, chakula, usafiri, ugonjwa etc.
Ukioa na ukapata watoto matumizi yanaongezzka mara 2Nina familia ya watu watano by the way wadogo zangu watatu na mzee mtu mzima(kwny hiki kpngle chakula ni mtiti kinoma) hayo mengine kawaida
🧡Nasisitiza kila mara humu.
Mwanaume kama huna uwezo wa kumtunza, kumuongoza na kumlinda mwanamke, ACHANA NA NDOA KABISA.
Hio kuanza from scratch ni Fairy Tales. Mwanaume ni lazima uweze kuhudumia Mkeo, na mengine yote utazidishiwa.
Be a Man, zingatia kwanza wewe kuwa bora kabla hujataka kuja kuonewa huruma na mwanamke.