Kijana anataka kuoa

Kuna mambo sio ya kushauriwa ye kama kampata mrangi aoe waanzie kwenye hiyo scratch ila life has no guarantee wanaweza kubaki kwenye scratch for the whole life
Ni kweli kabisa. Watanzania wengi wamebaki kwenye scratch maisha yao yote
 
Hivi unajua matumizi ya mwezi ukiwa na familia? Kodi, umeme, maji, chakula, usafiri, ugonjwa etc.
Nina familia ya watu watano by the way wadogo zangu watatu na mzee mtu mzima(kwny hiki kpngle chakula ni mtiti kinoma) hayo mengine kawaida
 
🤣Kwo mkuu 900 haipendezi basi lete michongo pande hizo
 
🧡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…