Kwahiyo we una offer confidence tu kwa wanawake zako?Kujiamini ni moja katika "role" ya mwaname kwa mwanamke,kumpa mwanamke usalama na uhakiaka wa maisha yake,sijui mwenzangu wanaume wako "style" gani,
kila mtu ana anachokipenda katika kuvutiwa na mwanamke au mwaname,inawezekana unapenda wanaume wanaoangalia chini,hawakuanangilii machoni wakati wanaongea na wewe,lakini kwa vile wamevaa Gucci na versace,basi unavutiwa nao,..
Mimi sina mwanamke mbaya,sijawahi kuwa na mwanamke mbaya sivai Gucci wala nini, lakini wanawake wanavutiwa sana na "confidence" yangu,Najiamini sana,tena sana
Hayo ya kuvaa na kunukia karibia wote wanaweza,lakini kubeba majukumu dunia imebadilika kiutafutaji,pesa ni mlima mrefu kuliko unavyofikiri,kwenye kubeba majukumu wengi watakwamaMwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.
Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc
Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.
Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!
Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!
Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!
Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!
Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...
Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Haaahaaa... Mbona nachambwa nakomaaa nao hivo hivo tufikie muafaka!Hahah!, Wit shauriyo watatugeuzia kibao sasa hivi...lol
How can you be confident while your not well equiped!That's what I am talking about,Confidence it matter a lot
Kwani hapo kumezungumziwa confidence mkuu? Si accent or conversation?That's what I am talking about,Confidence it matter a lot
Boss hayo mambo yapo ila sio kwa mtz wa kawaida.Hahah hivi hawa wanaoshangaa hayo wanaijua dunia kweli? Teh teh teh ile mikoba wanayobeba ya kariakoo hivi original zake bei wanazijua?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pia kuweni wapole msiwe na tabia ya kuongea mwanaume unatakiwa uwe mkimya unaongea vitu genuine sio kila kitu unajifanya unakijua
Mkuu kumbe ni kuwanasa watoto wa nexty level, hawa wavaa madela na wakudanga tuachie ss tuwabonyezeHaha halafu naona watu wanatiririka bila kuangalia aina ya wanawake wanaozungumziwa hapa!! Naona wavaa madera wameanza vidole juu!!
hahha...sio wasukuma tu(japo wao ni too much).Lakini kaka zangu wa kisukuma tuwafanye na zile accent zetu..
Halafu si unajua tunavyokuwa loaded tukiuza mifugo yetu na madini...lol
Jaribu kwangu nione kama uko navyo. ..How can you be confident while your not well equiped!
Being well equiped inakurahisishia hata kujiamini..
Ila bado inategemea unamface nani? wengine hawahitaji uwe equiped...
You can be simple kwa original brands!! Oris watch looks simple but very expensive!! Rayban eyewear looks simple but expensive!! Simple means no manakshi nakshi hadi unaumiza macho ya watu!!
Basi bora awwe hivo na awe si muongeaji kupita kiasi chaaaahahha...sio wasukuma tu(japo wao ni too much).
Kuna kaka yangu Mtu mkubwa kabisa na vidato vikubwa kukuzidi...Ana ile accent halisi ya kiarusha na meno yetu yale.
Ukikutana naye sehemu mkaanza kuongea unasema huyu mvuta bangi tu....hizi za asili haziishi kiurahisi.
Mambo ya "offer" ni mambo mengine na mambo ya "approaching" ni mengine,mleta mada katanguliza "material" katika "stretegy" zake za kumu "approach" mwanamke,mimi napingana nae,...Kwahiyo we una offer confidence tu kwa wanawake zako?
Naongopa shoga angu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukisoma comments za wengi humu utagundua wabongo wana shida ktk comprehension! Nimeweka category zote ila mtu ana grasp meaning kulingana na hali yake!! Mtu anakwambia yeye ni hela na kuhudumia but ameahindwa elewa the bottom paragraph ya thread imehusu nini! Tupo inferior mno emotionally kiasi ya kushindwa simple compression kwenye mijadala!!How can you be confident while your not well equiped!
Being well equiped inakurahisishia hata kujiamini..
Ila bado inategemea unamface nani? wengine hawahitaji uwe equiped...
It is the same shit,wanaume wangine hupatwa na kigugumizi wakitongoza...Kwani hapo kumezungumziwa confidence mkuu? Si accent or conversation?
Akiwa na maongezi mazuri na hana hayo material things?Lusungo if I may..
Niongezee kuhusu maongezi. Unless kama ume mention bila ku elaborate.
Mazungumzo ya mtu matters a lot. Unakuta mtu kavaa na kupendeza kama yote, but whatever comes out of their mouth?!!
Only God Knows..