Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Hawa vijana anaowazungumzia sidhani kama wapo jf...glasses za $300,saa sijui Oris etc etc

Seems to me like day dreaming. Ukiwa na hela hata mtumba unakung’arisha. Unang’aa ng’aa yani bila sababu[emoji4]

Being yourself is what catches a classy woman’s eye.
 
Mkuu wanawake wazuri hawataki mambo yote hayo,wewe unaonyesha hujui kutongoza,mwanamke yoyote yule anavutiwa na mwanamme anaejiamini,..

Style yako wewe utachunwa tu na wanawake, style yako inaitwa "Buzi style",mwanamme kama wewe unakaribisha wa wanawake wakuchune,pesa wanazopata kwako wanakwenda kutumia na Bad boys...

"Beautiful Women likes bad Guys,gangster style kind of guys "
Uwiii uko wrong dear....mwanaume hata ukiwa bubu but unajua role yako kwa mwanamke ni lazima utapendwa tuu!

Care n handle her uone outcome! Eti kujiamini[emoji15] [emoji15]
 
You can be simple kwa original brands!! Oris watch looks simple but very expensive!! Rayban eyewear looks simple but expensive!! Simple means no manakshi nakshi hadi unaumiza macho ya watu!!

Kwa lugha nyingine unaongelea uwe na pesa ili kuoata classy woman, you don’t target mid to lower average people. Una target akina diamond na wenye pesa ndefu.
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc

Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.

Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!

Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!

Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!

Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!

Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Mimi sihitaji mwanamke glassy,huwa sio watamu
 
Unajidanganya. Ndio maana kila siku mnaanzishiwa thread humu
Tell him....anacheza huyu

Eti kujiamini[emoji23] [emoji23] ....kujiamini wapelekee mabosi wa kampuni wakupe kazi
 
Ndo maana huwa mnakosa wanawake, we kwani nikimfuata nimecha gari home kwangu, hafu akanieleza shida zake akakuta zinatatuliwa, hafu we unaenda na gari lako hata pesa ya mafuta ya kuungaunga nani ataaminiwa haraka?
Mwanamke uchawi wake ni pesa ukimpa utaona anavyochanganyikiwa
Haaahaaa....we unawajua wanawake[emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122]
 
Ebana eeh tena umenikumbusha ngoja nichukue Creed nikampige sound mama Samia .....Shenzi wewe utakuwa unanitakia balaa na hizi mbinu zako
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc

Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.

Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!

Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!

Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!

Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!

Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Nitumie gharama zote hizo kwa ajili ya urafiki tu.? Hell no kina mwajuma wananitosha
 
Back
Top Bottom