Kijana hakuna pesa bila upambanaji kamari ni ujinga

Kijana hakuna pesa bila upambanaji kamari ni ujinga

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Nisiwachoshe sana na salamu niende Moja Kwa moja kwenye mada
Iko wazi kwamba no free lunch or dinner kama hutaki kuamini ngoja siku uje kusukumwa tope🤣

Siku hizi vijana wanaamini kwenye kamari na bahati nasibu,
Ila katika vitu vimeleta uvivu katika kujituma pamoja na fikra basi ni kamari.
Vijana siku hizi wanaamini kwenye kusafisha nyota😬😬😬, ili tu wapate kushinda kwenye michezo ya kubahatisha ndo maana hata idadi ya matangazo ya waganga wanaosafisha nyota yako kibao.

Mtu unamkuta na makaratasi kibao kama mwendawazimu kutwa kushinda kwenye makasino, maisha ni ya kuungaunga anachokipata chochote anabeti. Sahizi kamari inachukua adi shillings 200
(Jackpot za kichina) na kukuacha mkavu😬😬
Ndo maana hata idadi ya vibaka inaongezeka vijana hawataki kuifanya kazi.
Kamari haijawekwa wewe ushinde Kwa sababu ile ni biashara watu wanataka faida na faida Yao ni wewe kugongwa😃

Njia ya kupata pesa ni kupambana kamari sio Dili hata kidogo sahz mpaka watumishi wa serikali wanabeti🤔 Sasa tutatoboa kweli Kwa staili hii.

Na vipi kuhusu vizazi vijavyo?

Nawasilisha
 
Kama vijana hawana pa kupambania hivi unafikiri watafanye?
Basi si bora wacheze kamari kubahatisha kuliko kukaba na kuiba?

Shida nyie huwa mnawashauri vijana eti Mara sijui wajiajiri Mara wapambane.Sasa watajiajiri bill mtaji na kupambana pasipo sehemu ya kupambania jamani?

Kuna watu huko nje Wana maisha magumu kupita maelezo.
Kama mtu Hana uhakika wa kula Mara 3 kwa siku, Hana hata sehemu ya kupanda mboga we unazani atatoboaje maisha?
 
Nisiwachoshe sana na salamu niende Moja Kwa moja kwenye mada
Iko wazi kwamba no free lunch or dinner kama hutaki kuamini ngoja siku uje kusukumwa tope🤣

Siku hizi vijana wanaamini kwenye kamari na bahati nasibu,
Ila katika vitu vimeleta uvivu katika kujituma pamoja na fikra basi ni kamari.
Vijana siku hizi wanaamini kwenye kusafisha nyota😬😬😬, ili tu wapate kushinda kwenye michezo ya kubahatisha ndo maana hata idadi ya matangazo ya waganga wanaosafisha nyota yako kibao.

Mtu unamkuta na makaratasi kibao kama mwendawazimu kutwa kushinda kwenye makasino, maisha ni ya kuungaunga anachokipata chochote anabeti. Sahizi kamari inachukua adi shillings 200
(Jackpot za kichina) na kukuacha mkavu😬😬
Ndo maana hata idadi ya vibaka inaongezeka vijana hawataki kuifanya kazi.
Kamari haijawekwa wewe ushinde Kwa sababu ile ni biashara watu wanataka faida na faida Yao ni wewe kugongwa😃

Njia ya kupata pesa ni kupambana kamari sio Dili hata kidogo sahz mpaka watumishi wa serikali wanabeti🤔 Sasa tutatoboa kweli Kwa staili hii.

Na vipi kuhusu vizazi vijavyo?

Nawasilisha
Vijana wanapotea sana
 
Kama vijana hawana pa kupambania hivi unafikiri watafanye?
Basi si bora wacheze kamari kubahatisha kuliko kukaba na kuiba?

Shida nyie huwa mnawashauri vijana eti Mara sijui wajiajiri Mara wapambane.Sasa watajiajiri bill mtaji na kupambana pasipo sehemu ya kupambania jamani?

Kuna watu huko nje Wana maisha magumu kupita maelezo.
Kama mtu Hana uhakika wa kula Mara 3 kwa siku, Hana hata sehemu ya kupanda mboga we unazani atatoboaje maisha?
Akibet ndo atatoboa?
 
dubwi wanachagua mnyama wao sijui farasi,simba,chui wanyama kama 7 nataka niseme nakuja na kipindi cha kuwashtua vijana washtuke
 
Umeongea point San,,sema huyo jamaa uliye muweka kwenye ID yko inanifanya nikufikirie mara mbilimbili🤣🤣
 
Kamali si ujinga bali ni dhambi jua kutofautisha ujinga na dhambi mkuu, usipotoshe watu
 
1671693640301.jpg
 
Back
Top Bottom