Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Ni vizuri kuja na suluhisho mbadala na sio kuponda kazi za watu
 
ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!

mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi

kwa mwaka ana laki 8 na 40.

kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!

hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa
Kwamba uweke akiba ya elfu 3 kila siku bila kukosa hata siku moja kwa miaka mitano? Uyo msukuma toroli unajua anapata shilingi ngapi? baada ya kutoa matumizi yake unajua anabakiwa na shilingi ngapi? Bado hajaumwa(atahitaji hela ya matibabu na hataenda kibaruani) , hajalipa kodi ya geto, umeme n.k nyie motivesheni spika bhana [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kila unapo kuja mjini bila konekisheni kutoboa sio rahisi wengi walio kuja miaka ya 2000 bila wenyeji wanao eleweka bado wako ubungo wengine mbezi magufuli wana sukuma turoli wengine wana uza maji wagine wapiga debe, maisha yanahitaji msaada ya mtu alio toboa, ni wachache wanao fanikiwa bila msaada wa ndgu jamaa au rafiki.
Duh ina maana Dar ishakuwa saturated since 2000's!

Japo hii mentality ya kuhitaji connection naona tunayo sana sisi wabongo. Mbona wenzetu wasomali, wakenya, wa nigeria na wale wa west africa hua wanaenda nchi za watu, hakuna wanaemjua, wanapambana mpaka wanatoboa

Lakn sisi wabongo mtu kutoka tu hapo mwanza kuja dar anahtaji connection!!
 
Kuna mambo mengi sana kwa mtu au kijana kutoboa.Wengine ni mazingira aliyokulia au anayokaa kwani upeo wake umefikia hapo na hana mtu wa mfano(role model wake ni hao hao wauza popcone) ,wengine in elimu na exposure kwa sababu kuna watu wanaanzia chini ,anafanya biashara mbalimbali mpaka anafanikiwa.nikupe mfano,mtu anaanza na popcone ,mwishoe anapanda kidogo anatafuta mtaji wa kununua mahindi ya popcone anawauzia wengine na huku naye anauza nk mdogo mdogo anakuwa supplier wao badala ya kwenda kununua mbali na wenzie ndio soko lake nk .Kwa hiyo mambo ni mengi sana ,wengine hata ungekuwa na connection bado asingetoboa kwani kuna ambao ni wavivu tu na hawana nidhamu na anachokifanya.Kuna watu wako vijijini na wanato boa kwani ndio wanakuwa supplier wa pembejeo,duka na kuuza vitu nk.Kwa hiyo kuna wengine pale hata uwape mtaji kiasi gani ,wahatoboi kwanza ndio umemoteza utamkuta segerea.Anyway huwa naona mifano mingi sana.Tujifunze kwa jamii za kihindi ,mtoto mkunje angali mdogo ,anafundishwa kazi,displine na hata kuendesha business za ndugu au familia.
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Bora wauza popcorn na maji kuliko panyaroad. Kwa hiyo unataka waache kuuza hizo bidhaa hata kama zina faida ndogo wajiunge na genge la panyaroad au?
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
we mwalimu upo katavi mambo ya vijana wa makumbusho yanakuhusu nini?
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Brother usiwalaumu kunamengi san nyuma yao amboyo wew hata hujayafahamu wew mshukuru mungu kwako wewe suala la akili kila mtu na mungu wake
 
ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!

mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi

kwa mwaka ana laki 8 na 40.

kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!

hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa
Kwa huu mfumuko wa bei tunza hela miaka mi5 uone kama itakuja kutosha kununua hata pkpk. Purchasing power ya Tsh inashuka kila uchwao!!
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
5000 kwa siku ni kubwa sana kwa kijana aliyetoka Kigoma, Mtwara , Sumbawanga na mikoa mingine maskini.
Mikoa tajiri huwezi anauza hizo takataka [bisi]ambazo si chakula na zimechanganywa na marangirangi ya sumu toka vingunguti, pale makumbusho.

Mchaga, Mhaya, Mnyakyusa, Msukuma wa Mwanza[siyo wasukuma pori wa Chato na kwengineko] huwezi kuta anauza pale makumbusho na kuwakera abiria kwa kuwawekea mbele ya macho na kupanda kwenye mabasi na kulazimishia watu.
 
ishu ni mipango thabiti ya maisha hasa kupunguza sana matumizi yasiyo ya lazima!

mfano msukuma toroli unayemdharau hapa akitunza elfu 3 kwa siku anapata minimum Tshs 70 kwa mwezi

kwa mwaka ana laki 8 na 40.

kwa miaka mitano kama ataendelea na hiyo kazi ana milioni 4 na ushee!

hizo hela kamuombe mwalimu kasheshe Mpwayungu Village uone kama hujatukanwa
Kwa miaka 5 huyo mwendesha mkokoteni , hapigi mademu wa kona baa na kwa wahaya pale Mwananyamala?
Haumwi?
Hali?
Halipi kodi?
Hafiwi?
Halipi nauli?
Hanywi pombe na wamama wauza uji pale makumbusho?
In short mwendesha mkokoteni hata akiumwa huwa hawezi kuwa na hela zaidi ya ya kumtibia, dawa lazma achangiwe.
 
Back
Top Bottom