Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Vijana wanasakamwa sana siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely rightNi vizuri kuja na suluhisho mbadala na sio kuponda kazi za watu
SahihiKAZI ni kipimo cha utu
Tuwekee picha za hao vijana wenzako tuwasuteKuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Acha tu.. sijui tukimbilie wapiVijana wanasakamwa sana siku hizi
Hii nina ushaidi nayoKila unapo kuja mjini bila konekisheni kutoboa sio rahisi wengi walio kuja miaka ya 2000 bila wenyeji wanao eleweka bado wako ubungo wengine mbezi magufuli wana sukuma turoli wengine wana uza maji wagine wapiga debe, maisha yanahitaji msaada ya mtu alio toboa, ni wachache wanao fanikiwa bila msaada wa ndgu jamaa au rafiki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora wao hawajakata tamaa na kuomba Mungu angewaumba wanawake kama wewe Mpwayungu ulivyokua unalalamika kwanini hukuumbwa mwanamke...hahaahaha
Sukari na majani ya chai ipi bei mkuu..?Bro! Maisha ni magumu Sana kijijini,
Hapa mjini, unaweza, kupata chakula cha Mia tano!Kijijini, inabidi ulime,uchome mkaa, utengeneze gongo,mpaka uchakae! Nani anataka mateso bro! Kama umeishapita njia ya iringa, mlima kitonga, kuna vijana wanalima nyanya, hawa hata upite usiku wa manane!utawakuta mle polini,wanasubili wateja!watu wanachuuza vitu kutafuta ahueni ya maisha, kijijini, bodaboda unambeba Nani? Hata ukilima mazao, utamuuzia Nani, watu ni maskini mno!kijijini kwetu,kaya nyingi chai ya asubuhi hakuna, watu hawawezi hata kununua majani yq chai, wanasaga kahawa, au kuchoma sukari!
Aisee ,walimu umewapa likizo au sio ? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kumbe ni mwalimu [emoji23][emoji23] duhYy mwenyewe hana connection ya kumtoa kwny ualimu hahaha
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth,
Jambo lolote unalolifanya ili utoboe UNAHITAJI MENTOR.Duh ina maana Dar ishakuwa saturated since 2000's!
Japo hii mentality ya kuhitaji connection naona tunayo sana sisi wabongo. Mbona wenzetu wasomali, wakenya, wa nigeria na wale wa west africa hua wanaenda nchi za watu, hakuna wanaemjua, wanapambana mpaka wanatoboa
Lakn sisi wabongo mtu kutoka tu hapo mwanza kuja dar anahtaji connection!!
Biashara ya PDF.Hapo kwenye mahindi ya kuchoma ninakupinga.
Wachoma mahindi wanaigiza faida kati elfu 20 hadi 60 kwa siku. Na biashara yao huwa nzuri zaidi kipindi cha mvua haswa Disemba-May
Kheri ya kuuza popcorn na kuchoma mahindi kuliko kuwa kula kulala, kukaa kijiweni, kuwa na visingizio huna wa kukuwezesha, kuponda kazi za wenzako, kujifanya mjuaji kwamba kushinda maisha lazima ufanye kazi maofisini au kutapeliwa na watu wa forex, forever living and such...Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Nimefanya kazi kwenye sekta ya mahindi mabichi kwa miaka mitatu.Biashara ya PDF.
#YNWA