Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
HahaaaKumbe ni mwalimu [emoji23][emoji23] duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaKumbe ni mwalimu [emoji23][emoji23] duh
hata kama hatuna, ndo tushindwe kusema Ukweli?😆😆😂😂 mtuache wachoma mahindi..🤣Hao vijana itasikia wanasema IST sio gari.[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwer wanatuona mabox 🤣🤣hata kama hatuna, ndo tushindwe kusema Ukweli?😆😆😂😂 mtuache wachoma mahindi..🤣
Kimbembe ingia front uone kaa la mawe [emoji23][emoji23]Pakti moja ya popcorn ni 1000
1000 mara pakti 100 kwa siku ni sawa na laki moja.
Laki moja kwa mwezi ni sawa na milioni tatu.
Mbona ujira mkubwa sana huu?
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
kikubwa maokoto....Ila kwer wanatuona mabox 🤣🤣
Ayo maokoto unayapataje ikiwa ata chanel za kupata imekua shidakikubwa maokoto....
Uko sahihi mkuu,kusave hela ndogondogo hadi itimie mtaji wa milioni kadhaa sio rahisi.Kila unapo kuja mjini bila konekisheni kutoboa sio rahisi wengi walio kuja miaka ya 2000 bila wenyeji wanao eleweka bado wako ubungo wengine mbezi magufuli wana sukuma turoli wengine wana uza maji wagine wapiga debe, maisha yanahitaji msaada ya mtu alio toboa, ni wachache wanao fanikiwa bila msaada wa ndgu jamaa au rafiki.
Toa solutionKuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
si nachoma mahindi .....Ndugu 🤣🤣Ayo maokoto unayapataje ikiwa ata chanel za kupata imekua shida
Aaaaaah kumbe basi sawasi nachoma mahindi .....Ndugu 🤣🤣
bro sio wote tuwe matajiri nani atakuwa masikini?Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.
Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.