Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Kijana huwezi tajirika kwa kuuza popcorn Makumbusho

Pakti moja ya popcorn ni 1000

1000 mara pakti 100 kwa siku ni sawa na laki moja.

Laki moja kwa mwezi ni sawa na milioni tatu.

Mbona ujira mkubwa sana huu?
 
Biashara yoyote bila ubunifu ni changamoto
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.

Ukweli mchungu japo watakwambia Bakharesa alianza kwa kuuza ice cream za kutembeza miaka ya 70.
 
Kila unapo kuja mjini bila konekisheni kutoboa sio rahisi wengi walio kuja miaka ya 2000 bila wenyeji wanao eleweka bado wako ubungo wengine mbezi magufuli wana sukuma turoli wengine wana uza maji wagine wapiga debe, maisha yanahitaji msaada ya mtu alio toboa, ni wachache wanao fanikiwa bila msaada wa ndgu jamaa au rafiki.
Uko sahihi mkuu,kusave hela ndogondogo hadi itimie mtaji wa milioni kadhaa sio rahisi.
Ukianza kusave ikifika laki 2 tu shida inajitokeza unaitumia,ukianza kusave tena kodi ya nyumba inaisha unaanza kudaiwa na mwenye nyumba unamlipa,baadae unaanza tena upya inakuwa ni mchezo huo huo na miaka inakatika.
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
Toa solution
 
Kuna mda huwa nawaza naishia kucheka tu [emoji3][emoji3][emoji3], ivi mtu una miaka zaidi ya saba wewe unauzaga popcorn tu, wengine wanatembeza Maji barabarani nusra wagongwe na magari Kwa faida ya elfu tano kwa siku.

Mtaji ni changamoto lakini ebu sisi kama vijana tujitahidi kusave kidogo kidogo ili tutoke huko kwenye uchuuzi wa hand to mouth, upo Dar miaka zaidi ya kumi hutaki kurudi kwenu afu biashara yenyewe unauza mahindi ya kuchoma vyombo Dovya. Huna akili.
bro sio wote tuwe matajiri nani atakuwa masikini?


ukitaka kugombana nao waambie ukweli
 
Back
Top Bottom